Woensdag, Februarie 28, 2018

Waliojeruhiwa kwa Risasi Maandamano ya CHADEMA waachiwa kwa Dhamana

Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shtaka la kufanya mkusanyiko isivyo halali.

Treni ya abiria yapinduka na kuanguka


Treni ya abiria ya Shirika la Reli Tanzania iliyokuwa ikitokea mkoani Dodoma kwenda Kigoma imepata ajali katika eneo la Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza.

Dinsdag, Februarie 27, 2018

LEO MBOWE AMEONGEA JAMBO LA MAANA SANA; MSIKILIZE


































Chrispiny kalinga blog

"Hukuma ya Sugu tuliijua siku nyingi na imepangwa Hotelini" -Mbowe


































Chrispiny kalinga blog

New AudiO of diamond platnumz - KOSA LANGU


































Chrispiny kalinga blog

Mpenzi mpya wa Diamond Platnumz awaumiza vichwa Zari na Hamisa, Mange at...


































Chrispiny kalinga blog

zari ametaja mpenzi mpya baada ya kumtosa damond?atampeleka diamond maha...


































Chrispiny kalinga blog

Rais Magufuli Apiga Simu Kumpongeza Diamond, Sikiliza Alichokisema


































Chrispiny kalinga blog

RAIS MAGUFULI AONGEA NA DIAMOND PLATNUMZ KWENYE CLOUDS360


































Chrispiny kalinga blog

Nandy Na Aslay Walivyonogesha Usiku Wa Mapenzi Escape One


































Chrispiny kalinga blog

FULL HIGHLIGHTS: MAJIMAJI FC 1-2 YANGA SC (ASFC - 25/02/2018)


































Chrispiny kalinga blog

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED YAJA KIVINGINE 2018

Tokeo la picha la SEMBE

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED.

Kampuni ya uzalishaji waUnga wa Mahindi Wilayani Njombe Mkoani Njombe inapenda kuwatangazia watanzania wote kwa jumla kuwa wao ni Wazalishaji wa Unga aina ya Sembe pamoja na Mafuta ya kupikia ainaya Alizeti sambamba na hilo ni Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla na lejeleja pamoja na kumfikishia mteja wao popote alipo ndani ya Nchi ya Tanzania  Kwa bei poa kabisa . 

WAKANDARASI WAZEMBE KUKAMATWA IRINGA,




















Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza amesema hatasita kuwakataa mameneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura)  waliopo mkoani kwake endapo hawatatimiza wajibu wa kusimamia wakandarasi wakati wa kutengeneza barabara.