Sondag, Maart 04, 2018

MMILIKI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ATOA OFA KWA WATAKAO WAHI KUFIKA CHUONI HAPO


OFA KWAAJILI YAKO WEWE KIJANA ULIYE HIMU ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA KWA BEI POA.....

TANGAZO

Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Eckros school of journalism

kinakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2018-2019 kwa kozi

zifuatazo kwa ngazi ya cheti.
.Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa

Wema Sepetu: Makonda ni kama Malaika

Muigizaji wa filamu mwenye nyota yake bongo na Afrika Mashariki Wema Sepetu, amefunguka na kudai Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameletwa duniani na Mungu kwa lengo la kusaidia watu nasio vinginevyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya March 4

TAHLISO Yatoa Tamko Kuhusu Wanafunzi Wanaotaka Mwigulu Ajiuzulu Kwa Kifo Cha Akwilina

TAARIFA KWA UMMA
Ndugu waandishi wahabari tunawashukuru sana kwa kukubali wito wetu wakuja kujumuika pamoja nasisi.

Wawili Watupwa jela kwa 'kumchezea rafu' Rais Nkurunziza katika mechi ya kirafiki

Maofisa wawili nchini Burundi wamehukumiwa kwenda jela baada ya Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza kuwashutumu ‘kuchezewa vibaya’ wakati wa mechi ya mpira wa miguu waliyoiandaa.