Vrydag, Februarie 02, 2018

Watu zaidi ya 50 Mahututi baada ya kula nyama..



Idara ya afya ya Mashariki mwa Cape own nchini South Africa ilitoa onyo baada ya watu zaidi ya

TLS Wammwagia Sifa Rais Magufuli


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Godwin Ngwilimi amepongeza Rais  John Magufuli kwa kutekeleza matarajio ya

Kampuni ya simu TTCL yapokonywa rasm





Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania siku ya jana Februari 1, 2018 imefanya mabadiliko na

Rais Magufuli: "Sitalalamika tena,najua nitakavyofanya .....TOBA



Rais John Magufuli amewapa pole Majaji kwa changamoto wanazokumbana nazo pindi wanapo shughulikia mashitaka yanayopelekwa na serikali na kuahidi kulifanyia kazi

KIONGOZI ALIYE MUAPISHA KIAPO RAILA ODINGA TUMBO LAWAKA MOTO


Wakili Miguna Miguna alihusika pakubwa katika kumlisha kiapo cha kuwa 'rais wa wananchi' kiongozi wa Nasa Raila Odinga

Mwanasiasa aliyejitangaza kuwa kiongozi wa vuguvugu la pingamizi dhidi ya serikali nchini Kenya NRM Miguna Miguna alikamatwa siku ya Ijumaa alfajiri,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya February 2

Rais Magufuli Amtumbua Mwanasheria Mkuu wa Serikali....



Rais Magufuli amefanya uteuzi mpya kwa kumteua Dk Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Paul Ngwembe kuwa

Ndege yaanguka na kuwaka moto uwanja wa ndege wa Zanzibar



Madudu Mkataba wa Mlimani City

Bunge limeitaka serikali kuhakikisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) anafanya ukaguzi wa kiuchunguzi na kiufanisi

Rais Magufuli Amlilia Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Kwa kututoka hapa Duniani..


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa huzuni na masikitiko taarifa za kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa na mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kilichotokea leo tarehe 02 Februari, 2018 saa 10:30 alfajiri katika

ALIYE KUWA KATIKA CHA CHA MAPINDUZI MKONGWE AMBAYE MWAKA 2015 ALIAMUA KUHAMIA CHADEMA KINGUNGE ATAZIKWA JUMATATU KATIKA MAKABURI YAKINONDONI JIJINI DAR.


Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya

Wakili: Afya ya Rugemarila, Seth zinatia mashaka

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa afya ya mmiliki wa IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara James Rugemarila zinaendelea

Donderdag, Februarie 01, 2018

Chadema Walimwa Barua.....wadaiwa kukiuka maadili ya uchaguzi Kino


Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na  msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli kikidaiwa kuvunja kanuni za maadili ya uchaguzi.