Maandag, Februarie 05, 2018

Zuma akataa shinikizo la kujiuzulu

South African President Jacob Zuma in the capital, Pretoria, August 19, 2017.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekataa wito wa chama chake wa kujiuzulu kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.
Rais huyo amekuwa anakabiliwa na

Kylie Jenner ajifungua mtoto wa kike

Kylie Jenner
Nyota nchini Marekani Kylie Jenner amethibitisha Jumpaili kuwa amejifungua mtoto wa kike.
Kumekuwa na uvumi kwamba Kylie mwenye umri wa miaka 20 ni mja mzito, lakini alinyamaa kimya kuhusu uja uzito wake muda wote huu.
Jenner alitangaza katika mtandao wake wa Instagram Jumapili kwamba alijifungua mnamo February mosi. Aliomba radhi kwa ukimya wake na kuwaweka kizani mashabiki zake.
Mtoto huyo ni wa kwanza wa Jenner na mpenzi wake Travis Scott ambaye ni rapa mashuhuri Marekani, na bado mpaka sasa hawajaamua kumpa jina gani.
Kylie Jenner, ambaye ni mtoto wa mwisho katika familia ya Kardashian na Jenner, alipata umaarufu kupitia kipindi cha televisheni 'Keeping Up with the Kardashians', pamoja na dada zake Kendall Jenner, Kourtney, Kim, na Khloé Kardashian.
Yeye ni binti wa mwanariadha wa olimpiki Caitlyn Jenner na nyota mashuhuri wa Televisheni Kris Jenner.
Chrispiny kalinga blog

Watumishi Wasiyoiunga Mkono CCM Kufukuzwa Kazi
























Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amefunguka na kuwataka watumishi mbalimbali mkoani kwake ambao hawaiungi mkono Serikali ya awamu ya tano iliyopo chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuondoka mapema katika nafasi zao hizo.

Sudan yaibuka ya tatu baada ya kuishinda Libya kwa penalti

Chan logo
Kipa wa Sudan Akram El Hadi aliokowa mikwaju miwili ya penalti wakati timu yake ilipoishinida Libya na kuibuka nafasi yatatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN).

Wanaharakati waandamana Nchini Kenya kushinikiza kufunguliwa kwa vituo vya utangazaji

Wanaharakati na waandishi habari wamiminika mjini Nairobi kushinikiza kufunguliwa kwa vituo vya utangazaji vilivyofungwa
Maandamano makubwa yatarajiwa hii leo Nairobi kuishinikiza serikali kuvifungua vyombo vitatu vya habari nchini vilivyofungiwa kupeperusha matangazo kwa siku ya saba leo.

Raia waandamana Syria kupinga mashambulio ya Uturuki

Kumefanyika mazishi ya wapiganaji wa Kikurdi waliouawa katika operesheni ya vikosi vya Uturuki mjini Afrin
Maelfu ya watu katika mji uliodhibitiwa na wakurdi Afrin, kakazini mwa Syria wamefanya maandamano kupinga mashambulizi yanaoendeshwa na Uturuki.

Mgombea udiwani Chadema apatikana akiwa hajitambui


Mgombea udiwani (Chadema) Kata ya Buhangaza, Mchungaji Athanasio Makoti (28) aliyepotea Februari 2,2018 katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa hajitambui.

KUPIGA PULI Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume


Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

DAWAYA YA KUTIBU YAPATIKANA


Asilimia 90 ya wanaume hushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya  kama vile

TANGAZO JIFUNZE ENGLISH NA RAS SIMBA


English is a language of everyone despite of age,  class or culture.....You still have a chance to come and join us!!! JOIN us and experience the difference in only three months!!!


Ladies and Gentlemen we humbly welcome you to learn English language at RAS SIMBA VIP class ..You will never regret your time once you join this center made with modern facilities!!!!




Chrispiny kalinga blog

NEC yaijibu Chadema

picha ya na muungwana blog

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesema uamuzi wa kuhamisha vituo 46 vya kupigia kura katika jimbo la Kinondoni umezingatia matakwa ya kanuni za Uchaguzi kwa kuvishirikisha vyama vyote vya siasa ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

;Mwanasheria Mkuu wa Serikali aapishwa Bungeni Leo



NAIBU Spika wa Bunge, Dkt.  Tulia Ackson amemwapisha Mmwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dkt. Adelardus Kilangi bungeni na kumkabidhia vitendea kazi kabla ya

Diamond akwaa skendo nyingine hatari



Mwanamuziki aliyeuteka ulimwengu wa Bongo fleva Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amejikuta ndani ya skendo nyingine baada ya mwanadada mrembo anayeitwa Mia kukiri kuwa alilala na nae nyumbani kwake Madale.