Dinsdag, Februarie 06, 2018
PETS KATA YA LUDEWA WAKAGUA MRADI WA MAJI UTAKAO WANUFAISHA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUDEWA
Meneja wa mamlaka ya maji Ludewa Bw.Mwinuka Gregory akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Pets.
siku kadhaa zimepita baada ya ukaguzi huo HABARI IMEANDIKWA NA
Habari Ludewa Blog
Waziri Mwigulu: “Mikoa ya Kaskazini inaongoza kwa wahamiaji haramu”

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Mwigulu Nchemba amelitaka jeshi la polisi kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa na kwamba taasisi hiyo ndiyo inayoshughulika na haki za watu na wasipofanya kwa uadilifu yapo madhara makubwa kwa jamii na kutoka kwa wahalifu.
Bombardier Nyingine na Boeing 787 Kutua Nchini Julai Mwaka Huu

Ndege mbili; moja aina ya Bombardier na nyingine kubwa Boeing 787 yenye uwezo wa kubeba abiria 262 zilizonunuliwa na serikali, zinatarajiwa kuwasili nchini Julai mwaka huu.
Mahakama yaagiza Nabii Titto apime upya akili

MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imeagiza mkazi wa mtaa wa Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma Tito Machibya, maarufu kama ‘Nabii Tito’ (45) kupimwa akili upya katika Taasisi ya Afya ya Akili ya Mirembe Isanga mkoani Dodoma ili kujiridhisha kama ana matatizo ya akili.
Baunsa Anayedaiwa Kumuua Mowzey Radio Atiwa Mbaroni

Mtuhumiwa namba moja ambaye anayedaiwa kuhusika na kifo cha msanii muziki nchini Uganda, Mowzey Radio amekamtwa na Jeshi la Polisi nchini humo.
Dk Slaa: Sijaja Tanzania kuapishwa kuwa balozi

Balozi mteule, Dk Willibrod Slaa amesema amekuja nchini kwa ajili ya kushughulikia usajili wa Hospitali ya CCBRT.
Nassari ashtakiwa kwa kesi ya shambulio
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru kujibu shtaka la shambulio.
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA AMESEMA

Polisi nchini Maldives imemkamata Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu nchini humo huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea kuwa katika hali mbaya kwenye nchi hiyo iliyoko katika bahari ta Hindi.
Teken in op:
Opmerkings (Atom)







