Maandag, Februarie 19, 2018

ratiba ya mazishi ya Kiongozi chadema hii hapa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kinatarajia kuongoza shughuli za utoaji wa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Katibu wa chama hicho Kata ya

Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mwanasheria........Ni baada ya kuisababishia halmashauri hasara ya sh. milioni 279

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Alphonce Sebukoto na kuagiza achungunzwe na vyombo husika.

Taarifa Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Makenya Abraham Honoratus Maboko kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH).

Baba wa Akwilina atamani kukutana na Polisi Aliyempiga Risasi Mwanaye ili Amng'ate hata Meno Tu


 Akwilini Shirima ambaye ni baba mzazi wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline aliyepigwa risasi na polisi Februari 16, 2018 amesema siku akikutana na askari aliyemuua mwanaye atapambana naye hadi kifo.

Sondag, Februarie 18, 2018

Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) Wamtaka Mwigulu Nchemba Ajiuzulu Sakata la Mwanafunzi wa NIT Kupigwa Risasii na Polisi

Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) na Chama cha ACT-Wazalendo wamemwomba Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Mwigulu Nchemba kujiuzulu ili kuonyesha uwajibikaji kwa maelezo kuwa ameshindwa kusimamia amani.

Rais Magufuli Aomboleza Kifo cha Mwanafunzi wa NIT Aliyepigwa Risasi na Polisi

Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za pole kwa familia ya Akwilina Akwilini aliyeuawa baada ya kupigwa na risasi katika maandamano wa Chama cha Demokrasia na

Shy-Rose Bhanji: CCM haiwezi kukwepa lawama Mauaji ya Mwanafunzi wa NIT


Aliyekuwa Mbunge wa Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji amefunguka na kuweka wazi msimamo wake juu ya tukio la kupigwa risasi kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo cha NIT Aqulina Akwilini na kusema kuwa chama chake cha CCM hakiwezi kukwepa juu hilo.

Serikali kugharimia mazishi ya mwanafunzi aliyepigwa risasi na Polisi

Serikali imetoa pole kwa familia ya mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline aliyeuawa kwa kupigwa risasi Februari 16,2018 na kuahidi kugharimia mazishi yake.

Waziri Ndalichako,Masauni watoa mkono wa pole kwa wafiwa kifo cha Mwanafunzi aliyepigwa Risasi

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof Joyce Ndalichako pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ,Injinia Hamad Masauni  wakimfariji Mama Mzazi wa marehemu  Aqwilina jioni ya leo Mbezi Kimara jijini Dar.

Sirro amefika katika Msiba wa Mwanafunzi Aliyepigwa Risasi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Nyakoro Sirro, leo amefika

KIPINDI HIKI HAPA CHA KIBOKO CHA MADANGA

Chrispiny kalinga blog

KIPINDI CHA KILIMO NA MIFUGO HASWA KATIKA MTINDILISHE

Chrispiny kalinga blog

Matokeo: Mtulia (CCM) atangazwa kushinda ubunge Kinondoni

Mgombea wa CCM Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia ameibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika jana Februari 17,2018.