Donderdag, Maart 01, 2018

Hotuba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali VENANCE MABEYO kat...

HUTUBA YA KAMANDA HII HAPA 


 Chrispiny kalinga blog

Mkuu wa Majeshi: Kuna Viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi, Hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewataka Watanzania kujiepusha na vitendo vinavyoweza kutishia usalama wa nchi na kuharibu tunu ya amani iliyopo.

NEC Yatumiia Hoja 6 Kumzima Mbowe

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa itaendelea kuzingatia Sheria, Kanuni, Maadili na taratibu mbalimbali katika kuendesha chaguzi nchini.

BASATA WASHUGHULIKIWE NA ANCO MAGU




Tokeo la picha la basata tanzania
Wanamziki chipkizi Mkoani Njombe wayalauma Mamlaka ya basata kwa kufungia nyimbo za wasanii wa mziki wa kisasa kama ambavyo hivi kalibuni wamefungia nyimbo

Kamati ya Olimpiki yaiondolea adhabu Urusi

Adhabu hiyo ilianza mwezi Disemba mwaka jana
Kamati ya kimataifa ya Olimpiki imeondoa kwenye kifungo Urusi.
Katika taarifa yake imesema adhabu ya Urusi imeondolewa mara moja kuanzia sasa.

Mwalimu aliyefundisha darasa la kompyuta kwa njia ya Ubao azawadiwa

Mwalimu kutoka Ghana alivuma mtandaoni baada ya kuweka picha akichora programu ya Microsoft Word kwenye ubao wakati wa darasa la tarakilishi.

Baada ya picha yake Owura Kwadwo kusambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter, kampuni ya Microsoft ilivutiwa na mwalimu huyo na kumsifia kwa jitahada zake za kuwafundisha wanafunzi wake.
Mmoja ya tweet ikisema "Darasa la teknohama Ghana. Hamna Kompyuta? Hamna Shida."
Kujitoa kwake kwa dhati kuliwavutia sana wafanyakazi wa Microsoft, waliandika kwenye akaunti yao ya Twitter, kuwa Bw. Kwadwo atapewa msaada wa vifaa vya kumsaidia katika kazi yake.

Hope Hicks: Mshauri wa Trump na Mkurugenzi wa mawasiliano ajiuzulu

White House Communications Director Hope Hicks leaves the US Capitol after attending the House Intelligence Committee closed door meeting in Washington, February 27, 2018
Mkurugenzi wa mawasiliano na mmoja wa mashauri wa karibu wa Rais Trump wa muda mrefu ameachia ngazi yake,mamlaka imesema.
Mwanamke huyo wa miaka 29 aliyekuwa mwana mitindo na mfanyakazi wa kampuni ya Trump, amekuwa karibu naye kwa miaka mingi.
Anaripotiwa kuwaambia wafanyakzai wenzake kuwa amehisi ametimiza wajibu wake katika ikulu ya White House.
Yeye ni mtu wa nne aliyeshika nyadhifa wa mkurugenzi wa mawasiliano.
Msemaji wa White House Sarah Sanders amesema haijulikani ni lini haswa Bi Hicks ataondoka.
Amekanusha kuwa hatua hio inahusiana na ushahidi amabyo Bi Hicks aliutoa mbele ya kamati Congress wakati aliporipotiwa kukiri kusema uongo wa wazi kwa niaba ya Bw Trump.
Wakati wa kampeni za uchaguzi, Bi Hick alifanya kazi kama khatibu wa mawasiliano. Alichukua nafasi wa kuungoza idara ya mawasiliano ya White House Agosti iliopita, baada ya ufutaji kazi wa ghafla wa
Bw Anthony Scaramucci.
Kabla yake , Sean Spicer na Mike Dubke walishika nyadhifa hio

Chrispiny kalinga blog

Vifo na uharibifu mkubwa waripotiwa Ghouta Syria

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeambiwa kuwa vifo, uharibifu mkubwa na taabu vimeendelea kutokea eneo la Ghouta nchini Syria, licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano

Lundenga Aitema Miss Tanzaniia

Mkurugenzi wa Kampuni inayoandaa mashindano ya Miss Tanzania ya Lino International Agency LTD Hashim Lundenga ametangaza rasmi kuacha shughuli za kuendesha mashindano hayo kuanzia Februari 13 mwaka huu.

Habari Ziliizopo Katika Magazetii yya Leo Alhamisi ya Marchh 1

TCRA yazifungia nyimbo 15 za Wasanii.....Zimo Mbili za Diamond

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea list ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka kwa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).

Japan Yaipatia Tanzania Msaada Wa Sh. Bilioni 77.3 Kujenga New Bagamoyo Road Dar Es Salaam

Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA), imeipatia Tanzania ruzuku ya Yen bilioni 3.78 sawa na Shilingi bilioni 77.3 kwa ajili ya upanuzi wa barabara ya New Bagamoyo, kuanzia Morocco hadi Mwenge, Jijini Dar es Salaam.

Rais Shein Apangua Baraza la Mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amafanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mapinduzi kwa kuongeza Wizara moja zaidi, na kuwabadilishia Wizara baadhi ya Mawaziri.