Saterdag, April 21, 2018
Kim Jong Un: Korea Kaskazini imesitisha majaribio ya silaha za kinyuklia

Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-Un, ametangaza kusitishwa kwa mda shughuli zake za kufanya majaribio ya silaha zake za Kinyuklia.
Idris Sultan achaguliwa kuwa balozi wa Uber Tanzania

Mchekeshaji maarufu, muigizaji na mshindi wa Shindano la Big Brother Afrika mwaka 2014, Idris Sultan amepata dili la kuwa balozi wa chapa ya kampuni ya usafiri ya Uber nchini.
Teken in op:
Plasings (Atom)