Woensdag, Mei 16, 2018

USIKU WA MAHABA NA KIBOKO CHA MADANGA SIKILIZA LIVE BILA CHENGA

































m



SIKILIZA KIPINDI BORA KABISA CHA USIKU WA MAHABA HAPA NA MUBASHARA BLOG 

ubashara blog

+255753121916

Nape Aitaka Serikali Kujipanga Upya Bajeti Ya Kilimo

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM), ameishauri serikali kuiondoa bungeni Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2018/19 ili ikajipange upya na kuiboresha bajeti hiyo.

Wahamiaji Haramu 236 Wakamatwa Tanga

Wahamiaji haramu 236 wamekamatwa mkoani Tanga kwa kuingia nchini bila kibali katika maeneo mbalimbali kwa kipindi cha Januari hadi Mei 16 mwaka huu.