Donderdag, September 06, 2018

Rais Magufuli aamuru Mwenyekiti wa Kijiji, Ofisa Mtendaji Nata wahojiwe Polisi

 Rais John Magufuli, amemuagiza Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, kuwakamata na kuwahoji Mwenyekiti wa Kijiji cha Nata na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, baada ya kutuhumiwa kula fedha za mapato za kijiji hicho.

Saterdag, September 01, 2018

WAZIRI WA NISHATI DK.MEDARD KALEMANI ATEMA CHECHE MKOANI NJOMBE



 Waziri wa Nishati DK.MEDARD KALEMANI amewataka Viongozi na wadau wa nishati kuwasaidia wananchi hususani wakazi wa mkoa wa Njombe kutunza

Woensdag, Augustus 29, 2018

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba - Sehemu ya Kwanza
kutana na suruhisho lako kwa njia ya mtandao kwa masharti nafuuu juu ya mambo ya uzazi na mambo yote ya Afya ya binadamu kwa ushauri nasaha  Sambamba na hilo ushauri wa ndoa na namna ya kumtambua mwenzi wa kweli lakini pia unaweza kuwasiliana nami kwa ufafanuzi zaidi kwa kupiga simu nambari 0753121916 utaongea moja kwa moja na Prof:Chrispin Kalinga kuwa huru masaa 24
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa

Maandag, Augustus 27, 2018

BREAKING: Lugola Amsweka Ndani Mkuu Wa Kituo Kikuu Polisi Mtwara Kwa Kushindwa Kuwaweka Watuhumiwa Mahabusu

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemweka ndani Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Mtwara (OCS), Ibrahim Mhando  kwa kushindwa kuwaweka mahabusu watuhumiwa wanne.

Mkurugenzi Wa Kituo Cha Uwekezaji TIC Akemea Tabia Ya Baadhi Ya Viongozi Wa Serikali Kutoa Matamko Na Kuwakamata Hovyo Wawekezaji Nchini

Mkurugenzi  Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) Godfrey Mwambe amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwamo wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa na mawaziri kuacha kutoa matamko na maagizo kwa wawekezaji nchini.

Sondag, Augustus 26, 2018

BASATA watoa NENO kuhusu afya ya Ommy Dimpoz

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) halijakaa kimya kipindi hiki ambacho msanii wa Bongo Fleva  Ommy Dimpoz anaumwa.

Swali la Mwananchi lasababisha RC Mbeya kujivua uenyekiti wake wa CCM Iringa

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema ameachia uenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa kwa maelezo kuwa ameambiwa achague nafasi moja.

TRA Yaendelea Kutoa Elimu Ya Msamaha Wa Riba Na Adhabu Ya Malimbikizo Ya Kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea kutoa elimu juu ya namna ya kuomba msamaha wa riba na adhabu ya malimbikizo ya madeni ya kodi kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali nchini.

Breaking: Mama Mzazi Wa Sugu Afariki Dunia

Mama mzazi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Desderia Mbilinyi amefariki dunia leo Jumapili Agosti 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

CHADEMA, ACT Wazalendo Wasusia Uchaguzi wa Marudio Tanga

Vyama vya CHADEMA, ACT Wazalendo na NCCR Mageuzi vimetangaza kugomea kushiriki uchaguzi wa udiwani katika Kata ya Mwanzage jijini Tanga kwa kile walichoeleza ni kuwepo kwa zuio la mahakama juu ya uchaguzi huo.

Njia ya kupanga uzazi kwa kutumia Kalenda/ Kuzuia Mimba Kwa Njia ya Kalenda


Kutana na mimi Chrispin Kalinga kwa msaada zaidi ili siku ukutanapo na mwenzi wako usipate mimba kwa matumizi sahihi ya karenda lakini pia kama unawasiwasi na siku ya kupata mimba nitafute kwa mashart nafuu kwa msaada zaidi nipigie sim au tuma ujumbe mfupi wa maandi kwa simu: 0753121916
ndani ya masaa 24 kuwa huru nipo kwaajili yako......
Hii ni njia ambayo mwanamke anaweza kutumia kupanga uzazi bila kutumia dawa au kitu cha aina yoyote.

Mpinzani wa Obama kwenye urais afariki Dunia


SENETA John McCain, shujaa wa vita vya Vietnam aliyehudumu kwa muda mrefu kama seneta nchini Marekani na aliyewahi kuwania urais, amefariki dunia akiwa na miaka 81.

Muro afanya ziara ya kushtukiza, abaini raia tisa wa kigeni wasio na vibali


Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro amefanya ziara ya kushtukiza  katika barabara ya mchepuko Arusha Bypass katika eneo la muungano Makumira  na kubaini uwepo wa vitendo vinavyoashiria ukiukwaji wa taratibu za kazi na haswa katika kazi zinazofanywa na raia kutoka nje.