Dinsdag, Mei 22, 2018

Ripoti ya Ufisadi Mali za CCM Yatua kwa Rais Magufuli

Tume ya kuhakiki mali za Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyoundwa na Rais John Magufuli, imebaini madudu ukiwamo utapeli na usimamizi mbaya wa mali hizo.

Viongozi Wawili CHADEMA Wavuliwa Uanachama

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema, Patrick Ole Sosopi, ametangaza kuwafuta uanachama wanachama wawili wa chama hicho.
Na Anitha Jonas –WHUSM

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Dkt. Harrison Mwakyembe amemwagiza Msajili wa Vyama vya Michezo nchini kuwaandikia barua ya kali ya onyo Kampuni mbili zinazoendesha Mchezo wa Ngumi za kulipwa nchini.

Waziri Mkuu: Shida ya Umeme Mikoa ya Kusini Imekwisha

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema shida ya umeme iliyokuwa inaikabili mikoa ya Lindi na Mtwara hivi sasa imekwisha.

Babu Tale Atiwa Mbaroni

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam,  Hamis Taletale maarufu Babu Tale, ametiwa  mbaroni na kufikishwa mahakamani na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es  Salaam.

Mtanzania Ateuliwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Mazingira

Na.Mwandishi Wetu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Antonio Guterres ametangaza uteuzi wa Bi.Joyce Msuya kutoka Tanzania kuwa naibu katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa anayeshughulikia program ya mazingira yenye makao makuu yake Nairobi nchini Kenya.

Watu 7 wafariki Sumbawanga kwa Kipindupindu.... 44 walazwa hospitalini

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule amethibitisha kufariki kwa wagonjwa saba wa kipindupindu katika Wilaya ya Sumbawanga huku wagonjwa wengine 44 wakibaki wodini kuendelea kupatiwa matibabu na wagonjwa 115 wakiruhusiwa kurudi nyumbani.

Saterdag, Mei 19, 2018

Kikosi cha Yanga kinachoikabili Mwadui


19th May 2018
1. Youthe Rostand
2. Hassani Kessy
3. Gadiel Michael
4. Said Makapu

Njombe mji wanaendelea na mazoezi dhidi ya mchezo wa kesho

Image result for njombe mji
njombe mji fc wanaendelea kujipanga katika mchezo wa kesho dhidi ya mtibwa katika viwanja vya nyumbani. 

NIMEKUSOGEZEA JIFUNZE DALILI ZA MIMBA KUALIBIKA

Leo tumeamua kuzungumzia jambo hili ambalo huwakumba watu wengi sana katika familia zao, wengi wamekuwa wakitokewa na jambo hili katika mimba zao za kwanza na mimba zao zinazoendelea katika familia zao na kushindwa kupata watoto.

Wasichana msikubali kuolewa na wanaume wenye viwanja mabondeni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wanawake wa mkoani humo kutokubali kuolewa na wanaume ambao wanaviwanja mabondeni.

Spika Ndugai Awashauri Vijana Wagombee Udiwani na Ubunge Kukabiliana na Tatizo la Ajira

Spika wa Bunge la Tanzania mheshimiwa Job Ndugai amewataka vijana nchini kugombea nafasi mbalimabali  za uongozi ikiwemo udiwani na ubunge ili kutatua tatizo la kukosa ajira kutokana na kukosa uzoefu.

MAGAZETI YA LEO MEI 19.2018