Donderdag, Februarie 01, 2018

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya February 1




Chrispiny kalinga blog

ILANI Aliyosaini Dk. Kigwangalla Leo Kuhusu Waliovamia kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kilichopo Njiro, Jijini Arusha




Chrispiny kalinga blog

Naibu Waziri Wa Elimu Afafanua Utaratibu Wa Kupata Cheti Mbadala/ Uthibitisho Kwa Mtu Aliyepoteza

NAIBU Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia,William OleNasha,amefafanua utaratibu wa kupata cheti mbadala/uthibitisho kwa mtu aliyepoteza cheti ambapo ameeleza kuwa Baraza la Mitihani litafanya kazi hiyo kwa muda usiozidi siku 30.

Ole Nasha aliyasema hayo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Mafinga Mjini,Cosato Chumi (CCM) lililokuwa likihoji ‘’Je ni utaratibu gani unaotumika pale mtu anapopoteza cheti ili aweze kupata cheti kingine’’?,Je ni unapata cheti halisi au nakala? na ni taratibu gani anatakiwa kuzifuata  mtu ili ombi lake lifanyiwe kazi ipasavyo na bila kucheleweshwa?.

Woensdag, Januarie 31, 2018

VACANCY: Finance Manager



Job purpose:
Under the direction of Finance Manager or such other person as Camfed shall from time to time direct. Finance officer is responsible for the day-to-day maintenance and smooth running of an accurate and up-to-date accounting system; provide management information for planning, control and decision making; provide timely and accurate financial reports: support oistricts and other partners in financial management and record keeping.
Specific Accountabilities:
·            Donor Reports preparations support, including Co-Funds Accounting
·            Preparation Overheads Cost Analysis, including Donor Recoveries
·            Support in in preparation of financial reporting packs and annual accounts.
·            Ensuring that all financial records, including documentation are properly filed and safely stored.
·            Maintaining an accurate Fixed Asset Register and ensure are proper calculation and posting of depreciations.
·            Managing records on Gift In Kind (GIK) from community partners to the Camfed Projects
·            Review and Report on Cash Position, on weekly basis; including Cash Requests as and when required
·            Reconciling all Intercompany balances and preparation of clearing journals
·            Spending tracking against planned activities and donor budgets
·            Postings of all expenditures and incomes within Finance ERP Database (Financial Force).
·            Review of the Day to Day program and administration payment requisitions
·            Performing Weekly Petty Cash Spot Checking
·            Review as second eye on the daily Financial Journals prepared by the team
·            Managing Accruals preparation and postings
·            Managing Monthly Balance Sheets Schedules Reconciliations
·            Managing Camfed Tanzania KIVA Loans to beneficiaries
·            Administration of field advances and Petty Cash
Other Activities, as and when required:
·            Initiation of payments via Check and Online Banking Platforms
·            Managing Staff and Stakeholders Retirements to the funds sent for various activities
·            Bank and Cash Reconciliations on Monthly Basis
·            Supporting Finance Deliverables as defined from time to time
Person Specifications
Essential:
·            A degree in accounting and Finance
·            Registered with NBAA - (Certified Professional Accountant)
·            Skills in excel, Salesforce database and other accounting packages as well as Ms Office
·            Honesty and integrity
·            An eye for detail, strong quantitative skills and a flexible, proactive and problem-solving approach to work.
·            Ability to use own initiative and to work unsupervised.
·            Excellent interpersonal and communication skills.
·            Ability to work under pressure and to keep to deadlines.
Desirable:
·            Experience in Auditing and preparing year-end financial statements.
·            Relevant accountancy experience gained from working for an international NGO
Application Details
To apply for this position please send your CV and covering letter to
tanzania@camfed.org on or before Monday 27th November 2017 at 4.00\
Chrispiny kalinga blog

TAMISEMI yaagiza Shule ya Sekondari Njombe kuchunguzwa baada ya wanafunzi wote kupata 0



Naibu Waziri Ofisi ya Rais –Tamisemi, Joseph Kakunda ameagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Njombe kufanya uchunguzi wa matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Viziwi Njombe.

Mbunge aliyesimamia kiapo cha Raila Odinga Akamatwa



Mbunge wa Ruaraka Tom J Kajwang’, ambaye alisimamia “kuapishwa” kwa kiongozi wa muungano wa Nasa Raila Odinga kwenye viwanja vya Uhuru Park Jumanne amekamatwa.

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao


Dhamira njema ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kuamua kuwasaidia wanyonge walioteseka na kunyanyasika muda mrefu baada ya kudhulumiwa Mali zao walizochuma kwa Jasho imewafanya Wanasheria kuguswa na kuamua kujitokeza kusaidia jitiada hizo ili kuhakikisha haki ya mnyonge inapatikana pasipo kuvunja Sheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akizungumza na wananchi hao.

Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya

Katavi waondokana na changamoto ya umeme


na chrispin kalinga
Wakazi wa Mkoa wa Katavi wameondokana na changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa OLIO ambao utasambaza umeme katika maeneo mbalimbali mkoani humo.
Waziri wa nishati Dkt Medard Kareman amefanya ziara mkoani Katavi na kukagua ujenzi wa miradi ya REA na Ujenzi wa Mashine za kufua umeme mkoani humo.
“Ujenzi wa mashine mbili kubwa za kufua  mradi wa umeme kwa  asilimia miamoja,” Waziri wa Nishati Dkt Medard Karemani alisema na kuwaagiza wafanyakazi  wa Shirika la umeme nchini TANESCO kufanya kazi usiku na mchana ili kuwahudumia wananchi .

chrispiny kalinga

Rais Magufuli awataka Uhamiaji kujiamini


 

Rais John Magufuli ameitaka Idara ya Uhamiaji nchini kutambua kuwa wanalojukumu kubwa la kulinda na kutembea kifua mbele katika kutekeleza majukumu yao.
Rais Magufuli pia amewaonya watendaji wachache wanaoendekeza vitendo vya kuiharibia sifa taifa na idara na kuwataka wabadilike haraka iwezekanavyo kwani hawatabaki salama.
"Uhamiaji mjitambue mnajukumu kubwa na nyeti na mtembee kifua mbele kwani Idara yenu ni muhimu kwani yeyote anayetaka kusafiri lazima aje hapa hata mimi, CDF au Rais Shein, ila wale wachache wanaotumia vibaya dhamana hii, kama hawataki kazi wapo watanzania wengi wanatafuta kazi.." alisema rais Magufuli.
Ameyasema hayo leo, Jumatano wakati wa uzinduzi wa hati ya kusafiria ya kieletroniki, jijini Dar es Salaam, iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Rais wa Zanzibar, Dkt Ali Shein, Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi Pamoja na Amani Karume na mabalozi wa nchi mbalimbali.
Akizungumza na umati wa wageni na wananchi mbalimbali waliokusanyika kwenye tukio hilo, Rais Magufuli amesema, kufanikiwa kwa mradi huo ni jambo la kujipongeza kwa watanzania wote kwani ni mradi uliotekelezwa kwa fedha za wananchi na kuwasihi wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu.
“Mradi huu utahusisha awamu nne, mradi huo umegharimu dola za Marekani milioni 57.82. sawa na shilingi bilioni 127, awali ilitakiwa kuwa Dola milioni 226 sawa na Shilingi bilioni 400, walipanga kutupiga mno ila nimshukuru Balozi wa Ireland kwa kusimama kidete na kufanikiwa kupata kampuni ya Marekani iliyochukua kazi hii kwa gharama hizo" alisema Magufuli.
Amewataka watanzania watakaobahatika kupata Paspoti hizo kuzilinda na kuitunza.
Wakati huo huo, Rais Magufuli  amemtaka Kamishna wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala kutafuta eneo litakalokuwa na hadhi ya kuwa Makao Makuu ya Uhamiaji na kuwaahidi kutoa bilioni 10 kama shukrani zake kwa kufanikisha kupunguza changamoto nyingi zilizokuwa zikiikabili Idara hiyo, zikiwemo za wahamiaji haramu, utoaji hovyo wa paspoti na vibali vya ukaaji pamoja na masuala mengine yaliyokuwa yakiitia doa Idara hiyo."Najua kuna watakaokasirika, kwasababu wana vibanda vyao hapo pembeni vya kiujanja janja". Alitania rais Magufuli.
Katika uzinduzi huo viongozi kadhaa wamekabidhiwa Hati hizo leo, na kwamba utaratibu wa kubadili paspoti hizo utaendelea taratibu hadi kukamilika kwake.
Awali, Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. MWIGULU Nchemba alisema, hati hizo zitasaidia kufuta makosa yaliyojitokeza ya kuwapa watu hati kwa nyaraka za kughushi pamoja na kudhibiti uhalifu wa kimtandao.wa kimtandao

chrispiny kalinga

PEMBEJEO, MBOLEA CHANGAMOTO, LUDEWA,




                                                                


wakazi wa kijiji cha ludewa mjini katika wilaya ya ludewa wanaulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa madai ya kuletewa mbolea ya kukuzia mazao isiyo jitosheleza.

wakizungumza na mwandi wa habari juu ya uchache wa mbolea iliyo kuwa imeletwa katika kijiji hicho siku ya tarehe 28 mwezi huu ni mifuko mia moja na mbili tu ukilinganisha na wingi wa watu wa kijiji hicho.

hali kadhalika wananchi hao wameongeza kwa kusema kuwa licha ya mbolea hiyo kuuzwa kwa bei ya juu kwanzia sh.46000/=na wafanya biashara wengine huuza kwa sh.50000 lakini bado mbolea haitoshi na wakaiomba serikali kuongeza wingi wa mbolea katika wilaya hiyo. 

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya ludewa mh.Andrea Tsere amesema kuwa kwanzia siku ya kesho anawataka wafanya biashara wote kuleta mbolea ya kutosha na yeye ndiye atakaye toa kibari cha bei itakayo uzwa.

 chrispiny kalinga


Hata Kama Mambo Yanakwenda Vibaya, Fanya Hivi



Hivi falsafa juu ya matumizi ya  bajeti ambayo ipo  ndani ya uwezo wako ikoje? Hili ni swali la muhimu sana ambalo kila mmoja wetu anatakiwa kujiuliza kataka maisha yake ya kila siku.

Nasema hivi kwa sababu moja kati ya tabia ya watu wengi huwa wanaishi nje ya bajeti ambayo wanakuwa wamepanga.

Hata Kama Mambo Yanakwenda Vibaya, Fanya Hivi

Ni rahisi sana kuwa na hasira, kukatishwa tamaa na hata msongo wa mawazo. Hiki ni kiu ambacho kila mtu anaweza akawa nacho kwenye maisha yake.