Vrydag, Februarie 02, 2018

Rais Magufuli amsaidia mlemavu Bajaji ya kutembelea




Rais waJamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametekeleza ahadi yake ya kumsaidia Bajaj Mlemavu wa viungo Bw. Yusuf

SIKU YA KESHO RAIS ATAFANYA HAYA kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa JWTZ



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, kesho tarehe 03 Februari, 2018 atawatunuku kamisheni

ZARI KAZALISHA JIPYA KWA MSANII WA MUZIKI WA KISASA DIAMOND



Hivi karibuni msanii wa nyimbo za Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul maarufu duniani kama Diamond Platinumz amekuwa akiingia katika skendo za kuchepuka kimapenzi na

SHEREHE ZA MIAKA 41 YA CCM KUFANYIKA MLANGALI, LUDEWA,

NJOMBE-MLANGALI

Na chrispiny kalinga


PICHA NA...MAIKO LUOGA

Katikati ni Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa Bw, Bakari Mfaume Kulia ni Bw, Leodgar Mpambalyoto Katibu wa siasa na Uenezi Wilaya ya Ludewa na Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Mlangali
 Wakiwa Katika

WAKULIMA WA VIAZI WATEGEMEA KUPATA ZAIDI MWAKA HUU TOFAUTI NA MWAKA JANA

NJOMBE

Na chrispiny kalinga


Wakazi na Wakulima waWilaya ya Njombe katika Kata yaLuponde Mkoani Njombe wamezungumza na waandishi wa habari leo febr 02 juu ya zao la kiazi Mviringo kilichopo katika kata hiyo kwa madai

Aubameyang hatokuwemo katika kikosi kitakacho ikabili Everton kesho?



Kupitia kikao chake na waandishi wa habari mapema hii leo meneja wa klabu ya Arsenal, Arsena Wenger ameonekana kuwakatisha tamaa mashabiki na

Matapeli na Walimu wakuu, wakamatwa Baada ya Matokeo ya Shule Kutoka

Walimu wakuu pamoja na mwananchi alie julikana kwa jina Teacher Patrick amekamatwa kwa kosa la kugushi saini ya afisa elimu wa mkoa wa dar es salaam pamoja na kukutwa na baadhi ya

Mtoto wa Fidel Castro amejiua



Mtoto wa Mwana mapinduzi na Rais wa kwanza wa Cuba Fidel Castro, Fidel Ángel Castro Díaz-Balart, mwenye umri wa miaka 68 amejiua akiwa mji mkuu wa

Zitto Kabwe anena maneno mazito kwa Waziri Mipango


Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa deni la taifa limeweza kuongezeka kwa asilimia 168% ndani ya

Dkt.Kikwete asema hana maneno ya kutosha zaidi ya kubeba uzito wa simanzi



Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hana maneno ya kutosha kubeba uzito wa simanzi zake kwa Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombali Mwiru.

Dkt Kikwete ameeleza kuwa Mzee Kingunge ni moja ya walezi wake waliomlea kisiasa na wametoka mbali.

“Nimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha Mzee Kingunge Ngombare Mwiru.Sina maneno ya kutosha kubeba uzito wa simanzi zangu.Mzee huyu ni moja ya walezi wangu kisiasa. Tumetoka nae mbali. Natoa pole zangu kwa familia na Watanzania wote. Alale kwa amani,“ ameandika Dkt. Kikwete katika ukurasa wake wa Twitter

Chrispiny kalinga blog

Watu zaidi ya 50 Mahututi baada ya kula nyama..



Idara ya afya ya Mashariki mwa Cape own nchini South Africa ilitoa onyo baada ya watu zaidi ya

TLS Wammwagia Sifa Rais Magufuli


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Godwin Ngwilimi amepongeza Rais  John Magufuli kwa kutekeleza matarajio ya

Kampuni ya simu TTCL yapokonywa rasm





Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania siku ya jana Februari 1, 2018 imefanya mabadiliko na