Saterdag, Februarie 03, 2018

Dancer wa Diamond Awaangushia Kichapo Shilawadu

Watangazaji wa Kipindi maarufu cha Shilawadu kinachorushwa na Clouds tv,Soudy Brown na Kwisa wamechezea kichapo kutoka kwa Dancer wa Diamond,Mose Iyobo,usiku wa kuamkia  ijumaa,

Vrydag, Februarie 02, 2018

PEMBEJEO, MBOLEA CHANGAMOTO

Mwonekano wa Chumba cha Mbolea Katika Nyumba ya Wakala wa pembejeo Ludewa Mjini


Upatikanaji wa Mbolea Ludewa Mjini bado ni Tatizo Inafika na kupokelewa juu Kwa juu Bila kukidhi mahitaji ya wakulima Wilayani Ludewa,

Ijue Afya Yako: Pata Tiba Asili ya Busha, Maumbile Madogo na Nguvu za Kiume


Tatizo hili limekuwa likiwaayhiri watu  wengi sana baada ya kujiona wako tofauti na watu wengine .Kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na maumbile  nchi-6-7 .Matatizo haya yanasababishwa na punyeto)

Ahukumiwa kwa kumtilia mkewe pilipili kwenye chupi


Mtu mmoja nchini Uganda anayejulikana kwa jina la Moses Okello amehukumiwa kifungo cha nje na kufanya kazi za jamii

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20


TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA
Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya

Basi la abiria lapinduka na kuua binadam



Basi la abiria mali ya kampuni ya Tahmeed coach linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam kwenda nchini Kenya jijini Mombasa limepinduka leo na kusababisha kifo cha

Makamu wa rais apigwa mawe na wananchi


Makamu wa rais wa

Tundu Lissu atoa jozi zito juu ya Mzee Kingunge


Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amezungumzia kifo cha Kingunge Ngombale Mwiru akisema

Rais Magufuli amsaidia mlemavu Bajaji ya kutembelea




Rais waJamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametekeleza ahadi yake ya kumsaidia Bajaj Mlemavu wa viungo Bw. Yusuf

SIKU YA KESHO RAIS ATAFANYA HAYA kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa JWTZ



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, kesho tarehe 03 Februari, 2018 atawatunuku kamisheni

ZARI KAZALISHA JIPYA KWA MSANII WA MUZIKI WA KISASA DIAMOND



Hivi karibuni msanii wa nyimbo za Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul maarufu duniani kama Diamond Platinumz amekuwa akiingia katika skendo za kuchepuka kimapenzi na

SHEREHE ZA MIAKA 41 YA CCM KUFANYIKA MLANGALI, LUDEWA,

NJOMBE-MLANGALI

Na chrispiny kalinga


PICHA NA...MAIKO LUOGA

Katikati ni Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa Bw, Bakari Mfaume Kulia ni Bw, Leodgar Mpambalyoto Katibu wa siasa na Uenezi Wilaya ya Ludewa na Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Mlangali
 Wakiwa Katika

WAKULIMA WA VIAZI WATEGEMEA KUPATA ZAIDI MWAKA HUU TOFAUTI NA MWAKA JANA

NJOMBE

Na chrispiny kalinga


Wakazi na Wakulima waWilaya ya Njombe katika Kata yaLuponde Mkoani Njombe wamezungumza na waandishi wa habari leo febr 02 juu ya zao la kiazi Mviringo kilichopo katika kata hiyo kwa madai