Maandag, Februarie 05, 2018

Kufuatia kifo cha Kingunge, CCM yasitisha kampeni kushiriki mazishi



Uongozi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam umesitisha kampeni za nje kwa siku moja (leo) kwa ajili ya kushiriki mazishi ya mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru.

Mke wa Majuto: Nilikua nakesha nikimuombea Mume wangu


MKE wa mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘Majuto’, Aisha Yusuf amesema kuwa siku za hivi karibuni alipoanza kuugua tena mumewe amekuwa akikesha na kumuombea arudi katika hali ya kawaida kwani anapoumwa vitu vyote vinalala.

Mke huyo alisema mume wake ni mcheshi sana na ni mtu anayeifanya familia kuwa na furaha kila wakati sasa anapokuwa mgonjwa nyumba inakuwa haina amani kabisa na hata watoto ambao amezoea kucheza nao wanapoa.

“Kila siku dua zangu ni kwa mume wangu maana ndiyo nguzo katika familia yetu na ni mtu mcheshi sana kwa familia hivyo namuombea sana apone maana ndiye furaha yangu,“ alisema mke wa Majuto.

Chrispiny kalinga blog

Bashe Aichambua Serikali


Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM) amefunguka na kusema kuwa kwa twakimu mbalimbali ambazo zinatolewa na BoT zinaonyesha mambo hayapo sawa hivyo kuna haja kubwa kwa Serikali kupitia Waziri wa

Tume Ya Uchaguzi (NEC) Yajibu Upotoshwaji Wa CHADEMA Kuhusu Kuhamisha Vituo Jimbo La Kinondoni


Hussein Makame, NEC
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesema uamuzi wa kuhamisha vituo 46 vya kupigia kura katika jimbo la Kinondoni umezingatia matakwa ya kanuni za Uchaguzi kwa kuvishirikisha vyama vyote vya siasa ikiwemo Chama cha

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya January 5

Mgombea CHADEMA Atoweka


WAKATI kampeni za ubunge na udiwani zikiendelea, mgombea udiwani (Chadema) Kata ya Buhangaza wilayani Muleba amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Mahakama ya Rufaa yamwondolea DPP mamlaka ya kuzuia dhamana za Washitakiwa


Mahakama ya Rufaa imemwondolea Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) mamlaka ya kuzuia dhamana ya mshtakiwa bila hata kulazimika kutoa sababu, baada ya kubatilisha kifungu cha 148 (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai, kinachompa mamlaka hayo.

Wastara amwaga chozi akiaga kwenda kutibiwa



Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wastara ameondoka nchini kuelekea India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake ulioanza kumsumbua mwishoni mwa mwaka jana huku akiwashukuru watanazania na Vyombo vya Habari kwa kuwa pamoja naye kipindi alivyokuwa akihitaji msaada wa fedha.

Sondag, Februarie 04, 2018

Ndege ya kivita ya Urusi yashambuliwa Syria


Ndege ya kivita ya Syria imeshambuliwa na kuangushwa Idlib nchini Syria.

Kwa mujibu  wa habari,ndege hiyo ya kivita ya Su-25 ilishambuliwa na kuanguka.

Waziri wa Kilimo, Charles Tizeba ameagiza Wataalam wa Ugani na Maofisa Kilimo 60 kutoka wizarani kwake na Chuo cha Kilimo na Taasisi ya Utafiti Ukiriguru kupelekwa mikoa inayolima pamba kusaidia unyunyiziaji wa dawa za kuua wadudu.

Chanzo cha Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume na Tiba Yake


Tendo la ndoa limengawanyika katika makundi matatu baadhi yake makudi hayo niuhanisi, kufanya tendo la ndoa maramoja na kushidwa kurudia tena 

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20


TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa

Kamishna wa TRA amsimamisha kazi Meneja wa Mara



Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Charles Kichere amemsimamisha kazi Meneja wa TRA Mkoa wa Mara  Nicodemus Mwakilembe kwa kushindwa kusimamia vizuri mashine za