Woensdag, Februarie 07, 2018
Prof. Kabudi: “Hakuna mgongano wa kimamlaka katika katiba ya Tanzania na Zanzibar”
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMA
Serikali imesema Kikatiba hakuna mgongano wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katiba ya Zanzibar unaosababisha ongezeko kubwa la kero za Muungano na mgongano wa kimamlaka baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Hizo Ndio Sababu Kwanini Pete Ya Immoring Inapendwa Na Watu Wengi.

Na. Dokta Mungwa Kabili …………….0744 000 473.
Pete ya Immoring ni pete ambayo imejizolea umaarufu mkubwa sana miongoni mwa wakaazi mbalimbali wa nchi za Afrika Mashariki na Ukanda wa Maziwa makuu kwa ujumla.
Mbunge Chadema ahoji utekelezwaji sera ya matibabu bure kwa wazee

Mbunge Viti Maalum Jimbo la Morogoro (Chadema), Devotha Minja ameihoji serikali juu ya utekelezwaji wa sera ya huduma ya matibabu bure kwa wazee.
Mlima Kilimanjaro waingiza bilioni 471

Serikali imesema hifadhi ya Mlima wa Kilimanjaro katika kipindi cha miaka kumi kuanzia mwaka 2007 hadi 2017 imeingiza mapato ya Shilingi Bilioni 471 kupitia shughuli za utalii.
Dinsdag, Februarie 06, 2018
BLOG holder AFUNGUKA

The reader of the blog Chrispin Kalinga blog I would like to wish you a good night but also a good reading of the various reports all corners of the world do not forget to tell with a colleague on the blog loved adverts and information.
Teken in op:
Opmerkings (Atom)





















