Sondag, Februarie 18, 2018
Saterdag, Februarie 17, 2018
Vrydag, Februarie 16, 2018
TANGA RAHA- Sehemu ya Tatu ( 3 )
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
Nikajipapasa haraka haraka kwenye mifuko yangu, ya pensi niliyo ivaa na kukuta kweli walet yangu haipo, ambayo ndani yake inapesa nyingi pamoja na vitambulisho vyangu vya kazi na bima za afya, tunazopewa wafanyakazi wa serikalini kwa ajili ya matibabu ya bure katika hospital yoyote ndani ya nchi ya Tanzania
Woensdag, Februarie 14, 2018
DR Congo: Wanajeshi watano wafariki katika msafara wa rais
Wanajeshi watano wafariki katika ajali iliotokea katika msafara wa rais Joseph Kabila Minkelo Kusini-Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Halmashauri Ya Longido Yapewa Gari La Chanjo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemkabidhi mbunge wa jimbo la Longido, Dkt. Stephen Kiruswa gari aina Tunland Double cabin kwa ajili ya kuboresha huduma za chanjo na afya katika jimbo hilo.
Mwigulu Nchemba awakemea wanasiasa wanaoihusisha Serikali na kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wanasiasa kuacha kutumia kuumia kwa mbunge Tundu Lissu kama chambo ya kisiasa katika majukwaa.
Dinsdag, Februarie 13, 2018
Sondag, Februarie 11, 2018
Teken in op:
Plasings (Atom)