Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amefunguka na kumpongeza Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe kwa kuendelea kumpigania diwani wa CCM Simon Kanguye ambaye amepotea kwa kutekwa toka mwaka jana.