Donderdag, April 26, 2018

Hali ya Usalama Iringa Iko Shwari.....Diwani mmoja Katiwa Mbaroni


Na chrispin kalinga

Hali ya usalama mkoani Iringa leo imeendelea kuwa shwari licha ya tishio la maandamano yaliyotarajiwa kuwepo huku ulinzi ukiimarishwa katika baadhi ya maeneo yenye mkusanyiko mikubwa kama benki na vyuo vikuu.

Rais Magufuli: Anena mazito : Tutawashughulikia wote watakao uchezea Muungano ...awe Nje ya Nchi au Ndani ya Nchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa mtu yeyote ataye jaribu kuuchezea muungano atashughulikiwa vikali hata kama atakuwa nje ya nchi.

Rais Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 3319....swali lipo je lulu atabahatika.jisomehe mwenyewe

Rais Magufuli  katika kuadhimisha Miaka 54 ya Muungano wa Tanzania ametoa msamaha kwa wafungwa 3,319 ambapo wafungwa 585 wataachiwa huru leo, na 2,734 wamepunguziwa adhabu zao.

9 mbaloni wakiandamana Posta, Dar es Salaam

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kukamatwa kwa watu 9 waliokuwa wakiandamana eneo la Samora Avenue, Posta.

Wema amuweka mdomo wazi Mange Kimambi kuhusu maandamano yake...

NA CHRISPIN KALINGA

Wema Sepetu amempiga dongo Mange Kimambi kufuatia maandamano aliyokuwa akiyahamasisha kupitia mitandao ya kijamii akiwataka Watanzania waandamane kutokufanikiwa.

Mambosasa AWASHA MOTO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Jijini Dar es salaam, Lazaro Mambosasa, ametolea ufafanuzi suala ambalo limeanza kushika hatamu mitandaoni la kukamatwa kwa Katibu wa Baraza la Wanawake CHADEMA kata ya Kisutu Elizabeth Mambosho na kupelekwa rumande akiwa na mtoto mchanga.

Diamond amfagilia Vanessa Mdee, “Unapambana sana Vee”

Msanii Diamond Platnumz amemfagilia mrembo Vanessa Mdee kutokana na jitihada zake anazofanya kila kukicha za kuupambania muziki wake uzidi kufika mbali zaidi.

Wema Sepetu Agoma Kuigiza na Mama Yake Kanumba

Msanii wa Bongo movie Wema Sepetu amefunguka na kuweka wazi kuwa kamwe hawezi kuigiza filamu moja na Mama mzazi wa Marehemu Steven Kanumba kwani Mwenyewe hakutaka mama yake ajiingize Kwenye sanaa.

Lady JayDee afiwa na mama yake



Mama mzazi wa msanii wa muziki wa bongo fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee, Bi. Martha Mbibo, amefariki dunia alfajiri ya leo.

Uingereza Yatoa Tahadhari kwa Raia Wake Nchini Kuhusu Maandamano

Serikali ya Uingereza imewataka wananchi wake wanaoishi hapa nchini kuchukua tahadhari na maandamano ya kisiasa yanayotarajiwa kufanyika Aprili 26.

Marekani Nayo Yawaonya Raia Wake Kuhusu Maandamano Nchini


Ubalozi wa Marekani nchini umetoa tahadhari kwa wananchi wao wanaoishi Tanzania kuhusu maandamano ya kisiasa yanayotarajiwa kufanyika Aprili 26.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya April 26

Maadhimisho ya Sherehe za Muungano Kutoka Dodoma

Sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,