Vrydag, Februarie 02, 2018

Madudu Mkataba wa Mlimani City

Bunge limeitaka serikali kuhakikisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) anafanya ukaguzi wa kiuchunguzi na kiufanisi

Rais Magufuli Amlilia Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Kwa kututoka hapa Duniani..


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa huzuni na masikitiko taarifa za kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa na mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kilichotokea leo tarehe 02 Februari, 2018 saa 10:30 alfajiri katika

ALIYE KUWA KATIKA CHA CHA MAPINDUZI MKONGWE AMBAYE MWAKA 2015 ALIAMUA KUHAMIA CHADEMA KINGUNGE ATAZIKWA JUMATATU KATIKA MAKABURI YAKINONDONI JIJINI DAR.


Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya

Wakili: Afya ya Rugemarila, Seth zinatia mashaka

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa afya ya mmiliki wa IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara James Rugemarila zinaendelea

Donderdag, Februarie 01, 2018

Chadema Walimwa Barua.....wadaiwa kukiuka maadili ya uchaguzi Kino


Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na  msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli kikidaiwa kuvunja kanuni za maadili ya uchaguzi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya February 1




Chrispiny kalinga blog

ILANI Aliyosaini Dk. Kigwangalla Leo Kuhusu Waliovamia kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kilichopo Njiro, Jijini Arusha




Chrispiny kalinga blog

Naibu Waziri Wa Elimu Afafanua Utaratibu Wa Kupata Cheti Mbadala/ Uthibitisho Kwa Mtu Aliyepoteza

NAIBU Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia,William OleNasha,amefafanua utaratibu wa kupata cheti mbadala/uthibitisho kwa mtu aliyepoteza cheti ambapo ameeleza kuwa Baraza la Mitihani litafanya kazi hiyo kwa muda usiozidi siku 30.

Ole Nasha aliyasema hayo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Mafinga Mjini,Cosato Chumi (CCM) lililokuwa likihoji ‘’Je ni utaratibu gani unaotumika pale mtu anapopoteza cheti ili aweze kupata cheti kingine’’?,Je ni unapata cheti halisi au nakala? na ni taratibu gani anatakiwa kuzifuata  mtu ili ombi lake lifanyiwe kazi ipasavyo na bila kucheleweshwa?.

Woensdag, Januarie 31, 2018

VACANCY: Finance Manager



Job purpose:
Under the direction of Finance Manager or such other person as Camfed shall from time to time direct. Finance officer is responsible for the day-to-day maintenance and smooth running of an accurate and up-to-date accounting system; provide management information for planning, control and decision making; provide timely and accurate financial reports: support oistricts and other partners in financial management and record keeping.
Specific Accountabilities:
·            Donor Reports preparations support, including Co-Funds Accounting
·            Preparation Overheads Cost Analysis, including Donor Recoveries
·            Support in in preparation of financial reporting packs and annual accounts.
·            Ensuring that all financial records, including documentation are properly filed and safely stored.
·            Maintaining an accurate Fixed Asset Register and ensure are proper calculation and posting of depreciations.
·            Managing records on Gift In Kind (GIK) from community partners to the Camfed Projects
·            Review and Report on Cash Position, on weekly basis; including Cash Requests as and when required
·            Reconciling all Intercompany balances and preparation of clearing journals
·            Spending tracking against planned activities and donor budgets
·            Postings of all expenditures and incomes within Finance ERP Database (Financial Force).
·            Review of the Day to Day program and administration payment requisitions
·            Performing Weekly Petty Cash Spot Checking
·            Review as second eye on the daily Financial Journals prepared by the team
·            Managing Accruals preparation and postings
·            Managing Monthly Balance Sheets Schedules Reconciliations
·            Managing Camfed Tanzania KIVA Loans to beneficiaries
·            Administration of field advances and Petty Cash
Other Activities, as and when required:
·            Initiation of payments via Check and Online Banking Platforms
·            Managing Staff and Stakeholders Retirements to the funds sent for various activities
·            Bank and Cash Reconciliations on Monthly Basis
·            Supporting Finance Deliverables as defined from time to time
Person Specifications
Essential:
·            A degree in accounting and Finance
·            Registered with NBAA - (Certified Professional Accountant)
·            Skills in excel, Salesforce database and other accounting packages as well as Ms Office
·            Honesty and integrity
·            An eye for detail, strong quantitative skills and a flexible, proactive and problem-solving approach to work.
·            Ability to use own initiative and to work unsupervised.
·            Excellent interpersonal and communication skills.
·            Ability to work under pressure and to keep to deadlines.
Desirable:
·            Experience in Auditing and preparing year-end financial statements.
·            Relevant accountancy experience gained from working for an international NGO
Application Details
To apply for this position please send your CV and covering letter to
tanzania@camfed.org on or before Monday 27th November 2017 at 4.00\
Chrispiny kalinga blog

TAMISEMI yaagiza Shule ya Sekondari Njombe kuchunguzwa baada ya wanafunzi wote kupata 0



Naibu Waziri Ofisi ya Rais –Tamisemi, Joseph Kakunda ameagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Njombe kufanya uchunguzi wa matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Viziwi Njombe.

Mbunge aliyesimamia kiapo cha Raila Odinga Akamatwa



Mbunge wa Ruaraka Tom J Kajwang’, ambaye alisimamia “kuapishwa” kwa kiongozi wa muungano wa Nasa Raila Odinga kwenye viwanja vya Uhuru Park Jumanne amekamatwa.

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao


Dhamira njema ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kuamua kuwasaidia wanyonge walioteseka na kunyanyasika muda mrefu baada ya kudhulumiwa Mali zao walizochuma kwa Jasho imewafanya Wanasheria kuguswa na kuamua kujitokeza kusaidia jitiada hizo ili kuhakikisha haki ya mnyonge inapatikana pasipo kuvunja Sheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akizungumza na wananchi hao.

Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya