Sondag, April 22, 2018

Picha: Mwili wa Agness Masogange ulivyoagwa Leaders Club leo na wasanii wakubwa wakishiriki

Wasanii mbalimbali leo wameungana na watu wengine katika kuuaga mwili wa marehemu Agnes Gerald ‘Masogange’ kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, ambapo baadaye leo atasafirishwa kupelekwa Mbeya nyumbani kwao kwa ajili ya mazishi.



mubashara blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking