Donderdag, April 26, 2018

Rais Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 3319....swali lipo je lulu atabahatika.jisomehe mwenyewe

Rais Magufuli  katika kuadhimisha Miaka 54 ya Muungano wa Tanzania ametoa msamaha kwa wafungwa 3,319 ambapo wafungwa 585 wataachiwa huru leo, na 2,734 wamepunguziwa adhabu zao.





mubashara blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking