Saterdag, April 07, 2018

Mwanamke wa kwanza TANZANIA kupata DEGREE apata Tuzo ya Heshima

Mfahamu Dkt Maria Kamm akiwa mwanamke wa kwanza Tanzania kupata Degree na kwa maisha yake ya miaka 53 ameyatumia kuwashauri vijana na kuwaelimisha kwa kuwapa elimu ya bure na pia aliwahi kuwa mwalimu mkuu katika shule ya Sekondari ya Weruweru Moshi





picha hii na mirradayo


 mubashara blog

+255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking