Na Chrispiny Bernad Kalinga.
Njombe.
Aliye simama ni Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Njombe Emmanuel mlelwa katika Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Njombe na kushoto kwake ni Katibu Mwenezi Siasa Mkoa wa Njombe Muheshimiwa Erasto Ngole.
Umoja wa vijana Uvccm vyuoni Mkoani Njombe wamefanya kikao cha pamoja kwa muunganiko wa vyuo na vyuo vikuu vilivyopo katika mkoa huo kwa lengo la kuwekana sawa na kukijenga chama cha mapinduzi.
Sambamba na hayo wanavyuo hao wamefanikiwa kuwasajili wanachama wapya wasio pungua sabini na tatu kutoka katika vyama pinzani huku wengine wakiendelea kuingia kinywa kinywa ambapo wasomi hao wametokea katika vyuo:chuo cha Hagafilo,Mpechi vtc,Eckros School of Journalism,Amani na vinginevyo
vingi.
Hata hivyo semeni hiyo imeendeshwa na viongozi wa mkoa
huo akiwepo katibu mwenezi wa siasa mkoa huo mweshimiwa Erasto
Ngole na mwenyekiti Uvccm mkoan wa njombe mweshimiwa Erasto Ngole mwenyekiti
seneti mkoa Emmanuel mlelwa katibu uvccm Shua Mwasanguti na katibu senita
mkoa getruda shungwa.
Sambamba na hayo mgeni rasmi wa semina hiyo mweshimiwa
Erasto Ngole amewapongeza viongozi wa idara zote kwa kufanya kitu kizuri cha kuwakutanisha wasomi hao pamoja na akaongeza kwa kusema kuwa wote walio
jiunga na chama leo wasiludi nyuma bali wazidi kusonga mbele na akaongeza kwa kumpongeza mwenkiti wa vijana wa mkoa kwa kumpa kama hongera kwa shilingi elfu hamsini papohapo.
Kwa upande wake akamaliza kwa kusema kuwa anawaomba vijana wote
waongeze juhudi kwa kufanya kazi na akawaonya watu wanaotaka kufanya
maandamano siku zijazo kwa lengo la kupoteza amani na amesema kuwa vijana
wasithubutu kuandamana bali wafanye kazi.
Geen opmerkings nie:
Plaas 'n opmerking