Woensdag, Februarie 28, 2018

Maandamano yamponza Mbuge wa CHADEMA, Mkutano wake Wazuiwa

Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo Februari 28, 2018 jimbo Bukoba Mjini katika uwanja wa Soko la Rwamishenye.

Mahakama imeombwa kufuta kesi ya ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’

Upande wa utetezi katika kesi ya kughushi, inayomkabili mfanyabiashara, Hussein Shabani maarufu ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’ umeuomba upande wa mshtaka kuifuta kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi upelelezi utakapokamilika.

Teknomiles - Diana [Official Video]


































Chrispiny kalinga blog

TAZAMA MAAJABU HAYA JINSI ALIVYO JITUPA BAARINI

Tizama jinsi ilivyo kuwa hapo chini







hapo ndipo moja ya abilia aliye kuwa anasafili na baadaye akaamua kujitupa ndani ya bahari kwenye eneo lenye kina kilefu




































Chrispiny kalinga blog

Ajirusha baharini kina kirefu Akiwa Safarini Kwenda Zanzibar

Mwanaume mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika amejirusha baharini kutoka katika boti ya Azam iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Zanzibar Jumatatu, katika eneo linalohisiwa kuwa na kina kirefu.

Waliojeruhiwa kwa Risasi Maandamano ya CHADEMA waachiwa kwa Dhamana

Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shtaka la kufanya mkusanyiko isivyo halali.

Treni ya abiria yapinduka na kuanguka


Treni ya abiria ya Shirika la Reli Tanzania iliyokuwa ikitokea mkoani Dodoma kwenda Kigoma imepata ajali katika eneo la Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza.

Dinsdag, Februarie 27, 2018

LEO MBOWE AMEONGEA JAMBO LA MAANA SANA; MSIKILIZE


































Chrispiny kalinga blog

"Hukuma ya Sugu tuliijua siku nyingi na imepangwa Hotelini" -Mbowe


































Chrispiny kalinga blog

New AudiO of diamond platnumz - KOSA LANGU


































Chrispiny kalinga blog

Mpenzi mpya wa Diamond Platnumz awaumiza vichwa Zari na Hamisa, Mange at...


































Chrispiny kalinga blog

zari ametaja mpenzi mpya baada ya kumtosa damond?atampeleka diamond maha...


































Chrispiny kalinga blog

Rais Magufuli Apiga Simu Kumpongeza Diamond, Sikiliza Alichokisema


































Chrispiny kalinga blog