Woensdag, Februarie 28, 2018

(MPYA) SIMULIZI (MAISHA): ULIMWENGU WA KUTISHA 01


































Chrispiny kalinga blog

Simulizi Mix Entertainment-Video Ad.


































Chrispiny kalinga blog

Kiss Daniel - Yeba [Official Video]


































Chrispiny kalinga blog

Upasuaji Wa Kihistoria Wafanyika Moi Kwa Mafanikio

Madaktari Bingwa wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa  Muhimbili  (MOI) kwa kushirikiana na Madaktari wa Hosipitali ya BLK  India jana  wamefanya upasuaji maalum wa mgongo kwa kutumia matundu (Minimal Invasive Spine Surgery) kwa mgonjwa aliyedhoofika uti wa mgongo.

Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kumbaka Mtoto wa Miaka Minne

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, linamshikilia Soli Mkanzabe (24), mkazi wa mtaa wa Nyegezi kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa) na kumsababishia majeraha na maumivu makali katika sehemu za siri

Naibu Waziri Mavunde Aagiza Wakurugenzi Kupandishwa Kizimbani Jijini Mwanza....Sababu Ziko Hapa

Khalfan Said, Mwanza
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde,

Kilichosababisha Mavunde na Biteko kufanya ziara mkoani Shinyanga

Na Mathias Canal, Shinyanga

Naibu Waziri wa wizara ya Madini Mhe Doto Mashaka Biteko na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde jana 27 Februari 2018 wametinga Mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi ya

Maandamano yamponza Mbuge wa CHADEMA, Mkutano wake Wazuiwa

Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo Februari 28, 2018 jimbo Bukoba Mjini katika uwanja wa Soko la Rwamishenye.

Mahakama imeombwa kufuta kesi ya ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’

Upande wa utetezi katika kesi ya kughushi, inayomkabili mfanyabiashara, Hussein Shabani maarufu ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’ umeuomba upande wa mshtaka kuifuta kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi upelelezi utakapokamilika.

Teknomiles - Diana [Official Video]


































Chrispiny kalinga blog

TAZAMA MAAJABU HAYA JINSI ALIVYO JITUPA BAARINI

Tizama jinsi ilivyo kuwa hapo chini







hapo ndipo moja ya abilia aliye kuwa anasafili na baadaye akaamua kujitupa ndani ya bahari kwenye eneo lenye kina kilefu




































Chrispiny kalinga blog

Ajirusha baharini kina kirefu Akiwa Safarini Kwenda Zanzibar

Mwanaume mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika amejirusha baharini kutoka katika boti ya Azam iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Zanzibar Jumatatu, katika eneo linalohisiwa kuwa na kina kirefu.

Waliojeruhiwa kwa Risasi Maandamano ya CHADEMA waachiwa kwa Dhamana

Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shtaka la kufanya mkusanyiko isivyo halali.