Vrydag, Mei 11, 2018
WAKAZI NJOMBE WAWAWASHIA MOTO IDARA YA MAJI
picha ya mtandaoni.
NJOMBE
Na yohana ndone
wakazi wa wilaya ya njombe mkoani humu wailalamikia mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira kwa utoaji wa bili kubwa ukilinganisha na matumizi yao ya kila siku.
Chombo cha Satelaiti kilichoundwa Kenya kitarushwa katika anga za juu leo kutoka Japan

Kenya inajiandaa kutimiza ndoto kubwa ya kisayansi leo Ijumaa. Chombo cha Satelaiti kilichoundwa nchini humo kitarushwa katika anga za juu hii leo kutoka nchini Japan.
NANDI AJA KIVINGINE OMMY DIMPOZ KINYWA....

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Nandy ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Ninogeshe' amemshusha chini katika mtandao wa Youtube msanii Ommy Dimpoz ambaye naye anafanya vyema na wimbo wake wa 'Yanje'.
Teken in op:
Plasings (Atom)