Vrydag, Augustus 03, 2018

Mfanyabiashara Davis Mosha akamatwa na Askari wa Uhamiaji

Mfanyabiashara Davis Mosha alikamatwa Agosti Mosi, 2018 kwa madai ya kuwazuia askari wa Idara ya Uhamiaji kutekeleza majukumu yao na bado anaendelea kushikiliwa kwa hatua zaidi.

Donderdag, Augustus 02, 2018

Picha ya Gadner na Mwanae Yazua Gumzo Mitandaoni


 Kuna picha  aliweka Gadner akiwa amerepost kutoka katika akaunti ya binti yake Karen ikiwa inaonyesha akiwa amemkumbatia mtoto wake  huku wakiwa wamelala kwenye kochi, na kwa jinsi wao walivyochukulia ilikuwa ni kama mapenzi ya baba na mtoto.

Mkuu wa Mkoa Njombe ataka wanaotorosha madini wafichuliwe



Na Chrispin kalinga

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewataka  wananchi wanaoishi Vijiji  jirani  vinavyopakana na machimbo  ya  madini  ya  tanzanite  ya  mereani  wilayani  simanjiromkoani   manyara  kusaidia kuwafichua  watu  wote  watakaojaribu  kuhujumu  jitihada  za  serikali   kudhibiti  utoroshaji   wa   madini

Aua mke kwa shoka, ajinyonga kisa wivu wa mapenzi


MWANAMKE mkazi Njage wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro, ameuawa kwa kukatwa kwa shoka kichwani na mumewe kwa kilichoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

Samia Suluhu: Nyinyi wapya tunawaomba mkienda msimame na kiapo mlichokiapa


MAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi walioapishwa jana Ikulu na Rais John Magufuli, wakashirikiane kwenye maeneo yao ya kazi kufuatia ziara alizozifanya mikoani ili kubaini kama wako wanaovutana wenyewe kwa wenyewe.

Naibu Waziri wa Áfya: Marufuku Kupiga Muziki Mahospitalini na Vituo Vya Afya

Na WAMJW - KAGERA
Naibu Waziri wa Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile amepiga marufuku kwa hospitali na vituo vyote vya kutolea huduma za Afya nchini kuonesha miziki katika maeneo yote yakutolea huduma na kuwataka kuweka jumbe zinazohusu Elimu Afya kwa umma pindi wanapongoja kupata huduma.

Naibu Katibu Mkuu atoa ombi hili kwa Wabunge na Wawakilishi


Na. chrispin kalinga.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar, Dk.Abdulla Juma Mabodi amewataka Wabunge na Wawakilishi nchini kuongeza kasi ya kutatua kero za wananchi kwa wakati kama walitoa ahadi zao katika uchaguzi mkuu uliopita.

Wanaotorosha Madini ya Tanzanite Kukiona cha Moto


Na Asteria Muhozya, Simanjiro

Waziri wa Madini Angellah Kairuki amesema Serikali itaaendelea kusimamia  ulinzi  na kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite na watakaokwenda  kinyume na matakwa ya Sheria, kiama chao  kinakuja.

Jenerali wa Magereza nchini Phaustine Kasike Awaasa Maofisa wa Jeshi la Magereza Kuzingatia Maadili ya Kazi

Na chrispin kalinga

KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike amewataka Maofisa na askari wa Jeshi hilo kujiepusha na vitendo vilivyo kinyume na maadili ya kazi yao, badala yake wazingatie kanuni, miiko na maadili ya uendeshaji wa Jeshi la Magereza.

Zao La Mchikichi Kumaliza Uhaba Wa Mafuta Nchini

SEKTA ya kilimo ni mhimili wa uchumi wa Taifa na inategemewa katika kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati ifikapo 2025, kupitia viwanda kwa sababu kilimo ndicho kitawezesha viwanda kwa kuvipatia malighafi.

Woensdag, Augustus 01, 2018

Stiggler’s Gorge Kuendesha Treni Ya Umeme

Waziri wa Nishati,  Dk. Medard Kalemani, amesema umeme wa mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge ndiyo utatumika kuendeshea treni mpya ya umeme.

MBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA NJOMBE AWAPONGEZA WAPINZANI WANGING'OMBE,KWA KUTOKUWEKA MGOMBEA KWA KUTHAMINI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA MH .RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.




Na Chrispin kalinga

Mbunge machachari wa vitimaalumu kutoka mkoa wa Njombe Bi Neema Mgaya ,mzaliwa wa jimbo la wanging'ombe ameonekana kuwapongeza wapinzani kwa kutokuweka mgombea katika uchaguzi mdogo kata ya Kata ya Itulahumba -Wilaya ya wanging'ombe.

KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM MKOA WA NJOMBE YASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENYEKITI UVCCM TAIFA KHERI DENIS JAMES -IRINGA .





Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James Akisalimiana na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Njombe Nehemia Tweve mapema leo walipowasili mkoani Iringa,Katikati yao ni Katibu mwenezi wa CCM-Njombe Erasto Ngole.