Sondag, Januarie 28, 2018

ACT- Wazalendo Kuzunguka Mikoa 6



,
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Ndugu Dorothy Semu, anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika mikoa mitano ya Tanzania Bara akiambatana na vbiongozi mbalimbali wa chama hicho.

Rais Dkt. Magufuli Asali Ibada Ya Jumapili Katika Kanisa Katoliki La Mtakatifu Petro Jijini Dar Es Salaam.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishukuru mara baada ya kushiriki Sakramenti Takatifu katika Ibada ya jumapili iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Baada ya Rais Magufuli, Rais Shein atoa msimamo wake kuhusu muda wa kukaa madarakani


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohammed Shein amesema hayupo tayari kuongeza muda wa uongozi kutoka miaka mitano hadi saba kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Zanzibar.

Lukuvi awwsha moto mpya.....



Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ametangaza kiama kwa wamiliki ardhi ambao hawajalipa kodi ya pango la ardhi na kutoa muda hadi April 30 mwaka huu kuhakikisha wanalipa kodi hiyo.

Madiwani watatu wa CHADEMA wakitimkimbilia CCM.

SIASA
Madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Rombo wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Saterdag, Januarie 27, 2018

Mwigulu Nchemba Awachana Wapinzani Wakati Akimnadi Mgombea wa CCMJanuary 27, 2018 Mwigulu Nchemba Awachana Wapinzani Wakati Akimnadi Mgombea wa CCM...SOMA ZAIDI



MBUNGE wa Iramba Magharibi, Singida na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameongoza jahazi la makada, wanachama na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uzinduzi wa kampenzi za uchaguzi mdogo wa ubunge kwa Jimbo la Kinondoni.

Dinsdag, Januarie 23, 2018

January 23, 2018
Dr Mollel : Nilifanya Jambo la Kitoto Nilipokuwa Chadema, Waliniambia Nitoke Bungeni Magufuli Akiingia



Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Siha kwa tiketi ya

Onyo kali latolewa baada ya Serikali kutangaza kuuza meno ya Viboko


 ***Wanunuzi wataruhusiwa kuyakagua (Januari 25 na 26) kabla ya mnada
***Watakaovuruga mnada kukiona cha mtemakuni

Maandag, Januarie 22, 2018

HAPA KAZI TU YATIMIA KWA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Azidi Kuwabana Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) 


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mhandisi Elius Mwakalinga akafanye tathmini ya ubora ya jengo la kituo cha pamoja cha forodha cha Sirari kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya.

Ametoa agizo hilo jana (Jumapili, Januari 21, 2018) katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Mara, ambapo alimuagiza Mkurugenzi huyo afanye tathmini na kuishauri Serikali kama jengo linafaa kutumika. 

Januari 17, 2018 Waziri Mkuu

KAMPUNI YA MAFUTA YA TOTAL YAKIFUNGIA KITUO CHAKE MJINI NJOMBE,

Katika Picha ni Purukushani wakati kituo hicho kikifungwa Mjini Njombe,
Na Gabriel Kilamlya NJOMBE

Saterdag, Januarie 20, 2018

 LUDEWA-MLANGALI
Na chrispiny kalinga 
date... 20 january 2018

WANGANGA WA TIBA ASILI WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE KIJIJI CHA MAWENGI NA IYUNGUYA  WAITAKA SERIKALI KUINGILIA KATRI MADAI YAO YA FEDHA ILIYO TOLEWA MWAKA 2017.

 
Waganga wilayani ludewa mkoani njombe wanaulalamikia uongozi wa chama ambacho kilikuwa kinawaongoza kinacho kwenda kwa jina la C.W.W.I kwa madai ya kuchukuliwa fedha zao kwa muda wa mwaka mmoja na bila kuona chochote kinacho endelea.

Dinsdag, Januarie 16, 2018


New Video: Chibwa & Tanah Tanchy – Alone

By  | 





 MONDI HATARI

Baada ya Afrika Kusini Diamond kununua mjengo mwingine Rwanda

ByKIBOKO CHA MADANGA




Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameweka wazi mipango yake ya kununua nyumba nchini Rwanda.