Donderdag, Augustus 16, 2018

GP Sirro: Yule Mwandishi wa Habari Alipigwa Kwa Sababu Alifanya Fujo....Upelelezi Unaendelea na Haki Itatendeka

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amesema kuwa Mwandishi wa habari aliyepigwa na polisi wakati akitekeleza majukumu yake katika Uwanja wa Taifa ulioko jijini Dar es Slaam alikuwa mbishi na alimkaba Askari polisi akitaka kuingia sehemu ambayo imekataliwa kuingia, ndipo askari wakawa na hasira na kuanza kuvutana ndipo ugomvi Ukaanza.

Sondag, Augustus 12, 2018

Dalili Za Mimba Kutunga Nje Ya Mji Wa Uzazi








HILI ni tatizo ambalo linawaathiri wanawake wengi. Kwa kawaida, mimba zinazotungwa nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili. Mimba hizi ni hatari kwa afya ya mjamzito kwa vile humfanya kupoteza damu nyingi na hatimaye kusababisha kifo asipowahi kutibiwa. Katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, kuna sehemu nyingi ambazo kila moja ina umuhimu wake.

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni (Vaginosis)

LEO tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri.

Lugola Aagiza Polisi Kuwakamata Waliofanya Ufisadi Sekta Ya Michezo


Na Felix Mwagara, MOHA
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemtaka Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Bunda kuwakamata watu walioshiriki kuwatapeli wananchi katika Sekta ya michezo wilayani humo, Mkoa wa Mara.

Saterdag, Augustus 11, 2018

KIPINDI CHA USIKU WA MAHABA NA CHRISPIN KALINGA HIKI HAPA

































mubashara blog

+255753121916

CHRISPINY KALINGA AACHIA WIMBO WA NDOA RASMI

































mubashara blog

+255753121916

Yleez akirap kwenye background beat BEST FM (P2), Wadai anastahili Tuzo.

































mubashara blog

akliwa na kiboko cha madanga

+255753121916

AUDIO MPYA YLEEZ FT. JABIR_' USIKONDE ' HII HAPA

































mubashara blog

+255753121916

JINSI AMBAVYO UNAWEZA KUANZISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA MTU YEYOTE UNAYE MPENDA. MAFUNDISHO HAYA NAKUSOGEZEA WAKO


CHRISPINY KALINGA
Twende sambamba……..

Unaweza kushangaa lakini ndio ukweli wenyewe kwamba upo uwezekano mkubwa kabisa wa kuanzisha na kuendeleza mahusiano na mtu yeyote Yule bila kujali mwonekano wake wala  tabia yake Katika mafundisho haya ambayo nakusogezea wewe msikilizaji na msomaji wangu ninaeleza kanuni za kimaumbile zinazoongoza mahusiano ya watu wawili ambao mara nyingi watu hao hukutana kwa njia ya bahatinasibu…

YLEEZ " KUTOKA NJOMBE AACHIA WIMBO WAKE ''USIKONDE''


Msanii wa muziki wa Bongo Freva  Hip Hop ajulikanaye kwa jina  YLEEZ  Kutoka Mkoani Njombe amekutana na Mubashara blog na kuzungumzia kazi yake ambayo anaichai siku ya leo inayo kwenda kwa jina la  USIKONDE.

Donderdag, Augustus 09, 2018

Rais Museveni Awasili Dar Es Salaam Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Moja Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Agosti 9, 2018

Rich Mavoko ashinda kesi ya kujiengua WCB

 Msanii Rich Mavoko ameshinda kesi ya kujiengua katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Kesi hiyo ilikuwa ikisikilizwa katika Ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (Basata).

RC Geita amewataka watumishi waishi kisasa kama Ndege ya Dreamliner


Na James Timber, Mwanza

Kutokuwepo posho za watumishi wa serikali isiwe kikwazo cha kushindwa kufanya shughuli za kimaendeleo katika jamii kwani mtu mzalendo lazima ajitoe mhanga na aishi kisasa kama Ndege ya Dreamliner.