Saterdag, Desember 09, 2017

Chama cha mapinduzi wilayani ludewa mkoani njombe kimesema Hakitakuwa tayari kuona kiongozi yoyote anakwamisha ama kubeza shughuli mbalimbali

LUDEWA,
 za kimaendeleo zinazofanyika katika jamii ya wanaludewa.
Akizungumza na wananchi wa kijiji cha mkwimbili kilichopo katika kata ya Lupingu Katibu wa chama  hicho Bakari Mfaume amesema kuwa wao kama chama tawala awatakuwa tayari kuona kiongozi anabeza shughuri za kimaendeleo zinazofanywa na wananchi sambamba  na kuwabeza wananchi ambao wamejitokeza kushiriki katika shughuri hizo.
DAR-ES-SALAAM

______________________________________________________

LUDEWA