Vrydag, Februarie 02, 2018

Rais Magufuli: "Sitalalamika tena,najua nitakavyofanya .....TOBA



Rais John Magufuli amewapa pole Majaji kwa changamoto wanazokumbana nazo pindi wanapo shughulikia mashitaka yanayopelekwa na serikali na kuahidi kulifanyia kazi

KIONGOZI ALIYE MUAPISHA KIAPO RAILA ODINGA TUMBO LAWAKA MOTO


Wakili Miguna Miguna alihusika pakubwa katika kumlisha kiapo cha kuwa 'rais wa wananchi' kiongozi wa Nasa Raila Odinga

Mwanasiasa aliyejitangaza kuwa kiongozi wa vuguvugu la pingamizi dhidi ya serikali nchini Kenya NRM Miguna Miguna alikamatwa siku ya Ijumaa alfajiri,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya February 2

Rais Magufuli Amtumbua Mwanasheria Mkuu wa Serikali....



Rais Magufuli amefanya uteuzi mpya kwa kumteua Dk Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Paul Ngwembe kuwa

Ndege yaanguka na kuwaka moto uwanja wa ndege wa Zanzibar



Madudu Mkataba wa Mlimani City

Bunge limeitaka serikali kuhakikisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) anafanya ukaguzi wa kiuchunguzi na kiufanisi

Rais Magufuli Amlilia Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Kwa kututoka hapa Duniani..


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa huzuni na masikitiko taarifa za kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa na mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kilichotokea leo tarehe 02 Februari, 2018 saa 10:30 alfajiri katika

ALIYE KUWA KATIKA CHA CHA MAPINDUZI MKONGWE AMBAYE MWAKA 2015 ALIAMUA KUHAMIA CHADEMA KINGUNGE ATAZIKWA JUMATATU KATIKA MAKABURI YAKINONDONI JIJINI DAR.


Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya

Wakili: Afya ya Rugemarila, Seth zinatia mashaka

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa afya ya mmiliki wa IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara James Rugemarila zinaendelea

Donderdag, Februarie 01, 2018

Chadema Walimwa Barua.....wadaiwa kukiuka maadili ya uchaguzi Kino


Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na  msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli kikidaiwa kuvunja kanuni za maadili ya uchaguzi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya February 1




Chrispiny kalinga blog

ILANI Aliyosaini Dk. Kigwangalla Leo Kuhusu Waliovamia kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kilichopo Njiro, Jijini Arusha




Chrispiny kalinga blog

Naibu Waziri Wa Elimu Afafanua Utaratibu Wa Kupata Cheti Mbadala/ Uthibitisho Kwa Mtu Aliyepoteza

NAIBU Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia,William OleNasha,amefafanua utaratibu wa kupata cheti mbadala/uthibitisho kwa mtu aliyepoteza cheti ambapo ameeleza kuwa Baraza la Mitihani litafanya kazi hiyo kwa muda usiozidi siku 30.

Ole Nasha aliyasema hayo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Mafinga Mjini,Cosato Chumi (CCM) lililokuwa likihoji ‘’Je ni utaratibu gani unaotumika pale mtu anapopoteza cheti ili aweze kupata cheti kingine’’?,Je ni unapata cheti halisi au nakala? na ni taratibu gani anatakiwa kuzifuata  mtu ili ombi lake lifanyiwe kazi ipasavyo na bila kucheleweshwa?.