Saterdag, Februarie 03, 2018

Zitto ataka CCM, Chadema kusitisha kampeni


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameviomba vyama vya Chadema na CCM kusimamisha kampeni za uchaguzi mdogo wa

Sheria Mpya Ya Madini Ya Mwaka 2017 Inataka Kurudisha Uchumi Kwa Wananchi:- Mhe Biteko




Na Mathias Canal, Shinyanga

"Sheria mpya ya madini ya mwaka 2017 inataka kurudisha uchumi wa madini kuwa uchumi fungamanishi kwa sekta nyingine, Hatuwezi kuwa na Mgodi ndani ya nchi ambao ajira zote zinapelekwa nje ya nchi kupitia huduma mbalimbali, unaweza kuagiza bidhaa za

SMS Ambayo Itamfanya Mwanamke Akutamani

Unaweza dhania kuwa kutuma ujumbe mfupi kwa mwanamke ili umsisimue haifai. Lakini kusema kwa hakika, inawezekana kumtumia mwanamke SMS ambayo inaweza kumsisimua na pia kupata atenshen kutoka kwake. Hii inaweza kufanya kazi vizuri iwapo umeingiwa na kibaridi cha kuongea na mwanamke moja kwa moja.


Kabla ujumbe ufupi kuvumbuliwa, wanaume walikuwa wakifuata mbinu nyingine kuonyesha kuwa wamevutiwa na wanawake waliowapenda.

SMS 20+ Za Kufanya Maongezi Yako Na Mwanamke Yavutie




Nimekuwa nikipata request za google kutoka kwa readers wa NESIMAPENZI wakitaka kusoma SMS za kutongoza, SMS za kimapenzi na SMS za mahusiano kiujumla. So leo nimeamua kuandika orodha ya SMS ambazo ukizitumia zitampendeza mwanamke na kutaka kuongea nawe milele.

Ok SMS tulizoziorodhesha hapa si SMS za kutongoza bali zinajaribu kuleta gumzo kwa mwanamke.
Psss! Kwa wale wasomaji wa blog hii kwa

Sababu 6 Kwa Nini Hupaswi Kudeti Mwanamke Asiyependa Gharama


Tokeo la picha la PICHA ZA WALEMBO






Hebu jiweke katika hii hali: uko na mwanamke ambaye ukifika nyumbani tu ashakuandalia kila kitu, hakuulizi kwa nini umechelewa, hajibizani na wewe, hana time ya kukupa vikwazo kwa nini humpatii hela za kwenda kula bata wikendi wala pesa za kumnunulia viatu design latest ama kutaka kujua kila kitu unachofanya unapokuwa mbali na yeye. Yeye lake muhimu ni kukupa penzi ambalo huwezi kulisahau.

Raha ilioje hii?

Utajuaje Kama Girlfriend Wako Anakupenda? Dalili Na Ishara Zote Tunazo




Unaweza kuwa na girlfriend kwa muda mrefu na usiweze kujua kama anakupenda au la. Wanawake wengine wanaweza kujifanya girlfriend wazuri kumbe wanakutumia. Na pia unaweza kuwa na girlfriend halisi ambaye anakupenda kuanzia juu mpaka chini.
Kama mwanaume, unapaswa kujua ishara zote ambazo

Njia 9 Unazohitaji Kutumia Kumtongoza Mwanamke Ambaye Hamko Ligi Moja Naye

Jinsi ya kutongoza na mapenzi


Ni mwanamke ambaye akiingia mahali kila kitu kinasimama na kumuangalia yeye. Kila akipita watu wanamkodolea macho ya kuingiwa na tamaa. Kila anapotembea unajiskia dunia yote ikikuzunguka kichwani. Kiufupi ni mwanamke mrembo unayemzimia kiasi cha kuwa unashindwa kumtongoza. [Soma: Mapenzi na sababu 9 za kwa nini watu hupenda]

Mambo 25 ya kufanya unapokuwa na mpenzi wako ili akupende zaidi na asikuache daima..

Tokeo la picha la PICHA ZA WALEMBO 1. Mshike kiuno chake

2. Ongea nae

3. Changieni mawazo kwa pamoja, na siri zenu

Makamu wa Rais aguswa na Cover ya wimbo wa Nandy na Aslay


Makamu wa Rais, Bi Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwa na wasanii Nandy na Aslay.

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan jana jioni aliwakaribisha nyumbani kwake wasanii wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka ‘Dogo Aslay’

mdomo wazi Tambwe



AULI ya Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma, aliyedai kwamba atafurahi zaidi kama straika wake Emmanuel Okwi atafunga mabao 30 msimu huu,

Jokate afunguka kuanzisha familia mwaka huu


Jokate Mwegelo

MWANAMITINDO ambaye ni kada wa CCM, Jokate Mwegelo baada ya kuanika kuwa mwaka huu ni sahihi kuingia kwenye maisha ya ndoa, ameibuka tena na kuanika kuwa 2018 ni

Mrema awatolea uvivu UKAWA


Mwenyekiti wa chama cha TLP Lyatonga Augustino Mrema amefunguka na kusema kuwa UKAWA hawampendi wala hawamtaki ndiyo maaana walifanya kila

Mume aliyeweka pilipili kwenye nguo ya mkewe aadhibiwa

Mahakama moja wilayani Lira nchini Uganda imemuhukumu mwanamume kifungo cha siku 40 kutumikia jamii baada ya kupatikana na hatia ya kupaka pilipili nguo ya ndani