Maandag, Februarie 05, 2018

wabunge watambua jipu


Na Veronica Simba, Dodoma
Wabunge walio katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini pamoja na wale wa Mikoa ya Morogoro, Iringa na Pwani,

RC, SENDEKA AMTUMBUA MKUU WA SHULE LUDEWA,



Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh.Christopher Ole Sendeka amemvua cheo cha ukuu wa shule na kumtaka ahamishwe katika shule hiyo mara moja mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Manda Oraph Mwinuka wilayani Ludewa kutokana na mwalimu huyo kushindwa kusimamia vyema ujenzi wa madarasa, Daharia pamoja na kushuka kwa ufaulu katika shule hiyo.

ZARI APEWA SIFA NA MMILIKI WA......


Zari ni mwanamke ambaye anapenda kujiheshimu na kujijari kwa namna moja au nyingine ndio maana leo nikaona vyema kukuletea mbele yako umtizame jinsi alivyo na unyenyekevu .  zari is a woman who likes to behave and kujijari in one way or another that is why today I saw better bring your presence umtizame how he and simplicity.

LISSU KATEMBELEWA NA EU



Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mbunge wa Singida Kaskazini, Mhe.

IKULU YOTE YAAMIA KUPUMZISHA MWILI


Rais Dkt akiweka udongo katika kaburi la Mwanasiasa mkongwe, Marehemu Mzee Kingunge Ngombale Mwiru leo, katika Makaburi ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam


Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akitoa heshima ya mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru.


DAR: Mazishi ya Mzee Kingunge Ngombale Mwiru yamefanyika ktk Makaburi ya Kinondoni ambapo Rais Magufuli ameongoza jopo la waombolezaji > Mzee Kingunge alifariki ktk hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipata matibabu baada ya kung’atwa na mbwa

Chrispiny kalinga blog

Zuma akataa shinikizo la kujiuzulu

South African President Jacob Zuma in the capital, Pretoria, August 19, 2017.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekataa wito wa chama chake wa kujiuzulu kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.
Rais huyo amekuwa anakabiliwa na

Kylie Jenner ajifungua mtoto wa kike

Kylie Jenner
Nyota nchini Marekani Kylie Jenner amethibitisha Jumpaili kuwa amejifungua mtoto wa kike.
Kumekuwa na uvumi kwamba Kylie mwenye umri wa miaka 20 ni mja mzito, lakini alinyamaa kimya kuhusu uja uzito wake muda wote huu.
Jenner alitangaza katika mtandao wake wa Instagram Jumapili kwamba alijifungua mnamo February mosi. Aliomba radhi kwa ukimya wake na kuwaweka kizani mashabiki zake.
Mtoto huyo ni wa kwanza wa Jenner na mpenzi wake Travis Scott ambaye ni rapa mashuhuri Marekani, na bado mpaka sasa hawajaamua kumpa jina gani.
Kylie Jenner, ambaye ni mtoto wa mwisho katika familia ya Kardashian na Jenner, alipata umaarufu kupitia kipindi cha televisheni 'Keeping Up with the Kardashians', pamoja na dada zake Kendall Jenner, Kourtney, Kim, na Khloé Kardashian.
Yeye ni binti wa mwanariadha wa olimpiki Caitlyn Jenner na nyota mashuhuri wa Televisheni Kris Jenner.
Chrispiny kalinga blog

Watumishi Wasiyoiunga Mkono CCM Kufukuzwa Kazi
























Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amefunguka na kuwataka watumishi mbalimbali mkoani kwake ambao hawaiungi mkono Serikali ya awamu ya tano iliyopo chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuondoka mapema katika nafasi zao hizo.

Sudan yaibuka ya tatu baada ya kuishinda Libya kwa penalti

Chan logo
Kipa wa Sudan Akram El Hadi aliokowa mikwaju miwili ya penalti wakati timu yake ilipoishinida Libya na kuibuka nafasi yatatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN).

Wanaharakati waandamana Nchini Kenya kushinikiza kufunguliwa kwa vituo vya utangazaji

Wanaharakati na waandishi habari wamiminika mjini Nairobi kushinikiza kufunguliwa kwa vituo vya utangazaji vilivyofungwa
Maandamano makubwa yatarajiwa hii leo Nairobi kuishinikiza serikali kuvifungua vyombo vitatu vya habari nchini vilivyofungiwa kupeperusha matangazo kwa siku ya saba leo.

Raia waandamana Syria kupinga mashambulio ya Uturuki

Kumefanyika mazishi ya wapiganaji wa Kikurdi waliouawa katika operesheni ya vikosi vya Uturuki mjini Afrin
Maelfu ya watu katika mji uliodhibitiwa na wakurdi Afrin, kakazini mwa Syria wamefanya maandamano kupinga mashambulizi yanaoendeshwa na Uturuki.

Mgombea udiwani Chadema apatikana akiwa hajitambui


Mgombea udiwani (Chadema) Kata ya Buhangaza, Mchungaji Athanasio Makoti (28) aliyepotea Februari 2,2018 katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa hajitambui.

KUPIGA PULI Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume


Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.