Woensdag, Februarie 07, 2018

Trump aiambia Pentagon iandae gwaride la jeshi Washington


Donald TrumpHaki miliki ya picha
Rais wa Marekani Donald Trump anaripotiwa kuwauliza maafisa wakuu wa jeshi kuandaa gwaride kubwa zaidi nchini humo kuonyesha nguvu zake za kijeshi.

Mkutano wa kumjadili Zuma waahirishwa leo



Rais Jacob Zuma na shinikizo la kuachia madaraka
Image captionRais Jacob Zuma na shinikizo la kuachia madaraka
Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimeahirisha mkutano wa viongozi wa juu wa chama hicho ulio tarajiwa kujadili hatima ya rais Zuma.

Nuh Mziwanda atoa ya moyoni baada ya wimbo wake kuvuja

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amejikuta akihuzunishwa na kitendo cha wimbo wake kuvuja kwani hakuwa na mpango wa kuutoa sasa hivi.

Mimi Mars afunguka mahusiano yake na Jux

MIMI Mars ni miongoni mwa wanadada wanaofanya vizuri kwa sasa kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva. Jina lake alilopewa na wazazi wake ni Marianne Mdee na ni mdogo wa damu wa mwanamuziki Vanessa Mdee ‘Vee Money’.

Prof. Kabudi asema hakuna mgongano wa Katiba Bara na Visiwani

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi, amesema hakuna mgongano mkubwa wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katiba ya Zanzibar unaosababisha ongezeko la kero za Muungano.

Madiwani watatu Chadema wahamia CCM

 Chadema katika Halmashauri ya Tunduma, wilaya ya Momba mkoani Mbeya kimepata pigo baada ya madiwani wake watatu kuhamia CCM.

Msukuma Ampa Makavu Waziri Bungeni

Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemshambulia kwa maneno Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina juu ya 'operation' anazozifanya za kionevu za kupambana na uvuvi haramu kwa kumwambia aache kufanya kazi kwa mihemuko

Serikali yawapokonya pasipoti maofisa 15 wa Nasa

Serikali imeamua kusitisha hati za kusafiria za viongozi kadhaa wa ngazi ya juu na wanasiasa wafuasi wa muungano wa upinzani wa Nasa ikiwemo ya gavana wa Mombasa, Hassan Joho.

Aliyemuapisha Raiila Odinga afukuzwa nchini Kenya

Serikali ya Kenya imemfukuza kwa nguvu na kumsafirisha kwenda nchini Canada mmoja wa viongozi wa upinzani Kenya, Miguna Miguna usiku wa kuamkia leo Februari 8 baada ya mahakama kudai aachiwe huru.

Prof. Kabudi: “Hakuna mgongano wa kimamlaka katika katiba ya Tanzania na Zanzibar”

Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMA
Serikali imesema Kikatiba hakuna mgongano wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katiba ya Zanzibar unaosababisha ongezeko kubwa la kero za Muungano na mgongano wa kimamlaka baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais Magufuli azindua Kituo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  tarehe 06 Februari, 2018 amezindua Kituo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi (Comprehensive Training Center – CTC) kilichopo Mapinga katika Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

Hizo Ndio Sababu Kwanini Pete Ya Immoring Inapendwa Na Watu Wengi.


Na. Dokta  Mungwa  Kabili …………….0744   000  473.
Pete  ya  Immoring  ni  pete ambayo  imejizolea  umaarufu  mkubwa  sana  miongoni  mwa  wakaazi mbalimbali  wa   nchi za  Afrika  Mashariki  na   Ukanda  wa  Maziwa  makuu  kwa  ujumla.

Mbunge Chadema ahoji utekelezwaji sera ya matibabu bure kwa wazee


Mbunge Viti Maalum Jimbo la Morogoro (Chadema), Devotha Minja ameihoji serikali juu ya utekelezwaji wa sera ya huduma ya matibabu bure kwa wazee.