Vrydag, Maart 02, 2018

Moto wa Mshumaa Waua Watoto Wanne Wa Familia Moja

Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kuteketea kwa moto walipokuwa wamelala chumbani katika tukio lililotokea mtaa wa Geita Road Kata ya Nyatukala mjini Sengerema.

Wanafunzi 400 wavamia Nyumba ya Mwalimu na Kufanya Vurugu....Shule Yafungwa Wiki 2

Serikali imeifunga Shule ya Sekondari ya Lyamungo iliyoko Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya wanafunzi wake kuzusha vurugu kubwa huku wakivamia na kuivunja ofisi ya Makamu Mkuu wa shule hiyo.

FUNDI AFARIKI BAADA YA KUMALIZA UJENZI WA KANISA AWEKA AGANO NA MUNGU,LUDEWA

WANNE WA FAMILIA MOJA WATEKETEA KWA MOTO JIJINI MWANZA

Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kuteketea kwa moto walipokuwa wamelala chumbani katika tukio lililotokea mtaa wa Geita Road Kata ya Nyatukala mjini Sengerema.

Ushuru wa bidhaa za chuma yaleta utata baina ya Trump na Wafanyabiashara

Galvanized coiled steel at the ThyssenKrupp steelworks on January 17, 2018 in Duisburg, Germany
Washirika wakubwa wa biashara wa Marekani wamekasirishwa na tangazo la Rais wa nchi hiyo Donald Trump juu ya mpango wa kutoza ushuru kwa bidhaa za chuma na aluminiam zinazoingizwa.

Urusi yajaribisha kombora jipya ....Halina Ukomo wa Masafa na Linaweza Kupenya Kizuizi Chochote cha Makombora

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema jeshi lake limejaribisha silaha kadhaa mpya za nyuklia ikiwemo aina ya kombora ambalo halina ukomo wa masafa na linaweza kupenya ngome ya mfumo wowote unaokabiliana na makombora.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Ijumaa ya March 2

Donderdag, Maart 01, 2018

Wastara arejea Kutoka Kwenye Matibabu India

Msanii wa filamu, Wastara Juma amerejea nchini leo akitokea Mumbay nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu ya mgongo na mguu na kuwashukuru Watanzania kwa namna walivyojitokeza kumchangia fedha za matibabu, ingawa hazikutosha na kulazimika kuuza baadhi ya mali zake.

Mahakama Kuu Yapokea Rufaa ya Sugu na Mwenzake

 Rufaa ya kupinga hukumu ya kifungo cha miezi mitano jela iliyotolewa kwa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga imewasilishwa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya.

Urusi yajaribisha kombora jipya ....Halina Ukomo wa Masafa na Linaweza Kupenya Kizuizi Chochote cha Makombora

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema jeshi lake limejaribisha silaha kadhaa mpya za nyuklia ikiwemo aina ya kombora ambalo halina ukomo wa masafa na linaweza kupenya ngome ya mfumo wowote unaokabiliana na makombora.

Wastara awasili nchini, aeleza alichofanyiwa na Bongo Movie


































Chrispiny kalinga blog

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED YAJA KIVINGINE 2018


Tokeo la picha la SEMBE

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED.

Kampuni ya uzalishaji waUnga wa Mahindi Wilayani Njombe Mkoani Njombe inapenda kuwatangazia watanzania wote kwa jumla kuwa wao ni Wazalishaji wa Unga aina ya Sembe pamoja na Mafuta ya kupikia ainaya Alizeti sambamba na hilo ni Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla na lejeleja pamoja na kumfikishia mteja wao popote alipo ndani ya Nchi ya Tanzania  Kwa bei poa kabisa . 

Msemaji wa kampuni hiyo amesema kuwa bei ya unga kwanzia kilo tano kilo kumi na kilo ishirini na tano  kwenye kampuni hiyo ni bei powa kabisa. 

Akizungumza na vyombo vya Habari mkoani hapo mkabara na viwanja vya sabasaba ambapo ni jirani kabisa na viwanda hivyo amesema kuwa watanzania wafunguke na kununua chakula bora  kutoka katika kampuni yake. 

Pia msemaji huyo akaongeza kwa kusema kuwa yeyote anaye hitaji bidhaa kutoka kwake awasiliane kwa simu nambari 
SIM 0763-407591.

     Usisahau kusambaza na kwa rafiki yako


Chrispiny kalinga blog


Goli ya Hassan Kess lafungwa kisomi zaidi


































Chrispiny kalinga blog