Dinsdag, April 10, 2018

Mwigulu Nchemba amjibu Mbunge Bwege

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, ametolea ufafanuzi suala lililoibuliwa na Mbunge wa Kilwa Kusini Suleiman Bungara, kuhusu polisi kushambulia watu msikitini na wengine kuuawa.

Waziri Mkuu Akemea Upotoshaji Kuhusu Muungano .....Awataka Waulinde, Aonya Sukari Isiwe Sababu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania waulinde Muungano baina ya Tanzania Bara na Zanzibar na akawaonya wasitumie Bunge hilo kuupotosha.

Wazirianena neno zito juu ya maandamano ya Mange Kimambi bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama amefunguka na kutoa ushauri kuhusu suala la maandamano na kusema kuwa mtu yoyote ambaye ana ratibu maandamano lazima afuate sheria hata kama maandamano yanatambulika kikatiba.

Wabunge wa kambi ya Upinzani kutoka Zanzibar watoka nje ya Bunge wakishinikiza Muungano ujadiliwe

Wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF) Zanzibar, jana walitoka kwenye ukumbi wa Bunge baada ya Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan ‘Zungu’ kusitisha kujadili masuala yanayohusu muungano.

Okwi azidi kuing'arisha Simba

Simba SC imeendelea kujikusanyia alama katika Ligi Kuu Bara baada ya kuilaza Mtibwa Sugar FC kwa bao 1-0 jioni hii kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Marekani yaapa kuichukulia hatua Syria

Rais Donald Trump amesema Marekani inapanga kutoa jibu la nguvu kuhusiana na shambulio la kemikali katika mji wa Douma nchini Syria.

Mazungumzo ya Sudan Kusini yaanza tena

Aliyekuwa Mkuu Majeshi Sudan Kusini ameunda vugu vugu jipya la kundi la waasi.

KUWASA yashtumiwa kupandisha bili na kutosikiliza kero za wateja

Baadhi ya wananchi wameilalamikia Mamlaka ya Maji Safi na Taka katika Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma (KUWASA) kwa kuwatoza bei kubwa tofauti na matumizi halisi.

Rais Magufuli kuhutubia Bunge la Bunge la Afrika Mashariki(Eala) Dodoma

Rais John Magufuli anatarajiwa kulihutubia Bunge la Afrika Mashariki(Eala) katika mkutano wake wa nne kikao cha kwanza ulioanza leo mjini Dodoma ikiwa ni mara ya kwanza vikao vya bunge hilo kufanyika huko.

MAGAZETI YA LEO 10 /4/2018




Rais Magufuli atajwa kuwania tuzo Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ameteuliwa kuwania Tuzo ya Kiongozi Bora Afrika, zijulikanazo kwa jina la The African Prestigious Awards zinazotarajia kufanyika nchini Ghana.

Mamia Ya Wanawake Waliotelekezwa Na Waume Zao Wafurika Kwa Makonda........Majina ya wanaume waliotelekeza watoto kuanikwa hadharani

Mkuu wa mkoa wa Dar es salam Paul Makonda jana April 9 amezungumza na akina mama waliotelekezwa na waume zao jijini Dar es Salaam ambapo mamia ya wanawake hao wamejitokeza wakiwa na watoto zao.

Maandag, April 09, 2018

Douma: Uwanja wa ndege za kivita wa Syria washambuliwa kwa makombora

Wanajeshi wanaounga mkono serikali ya Syria, yanakaendelea na vita katika juhudi za kuwafurusha waasi kutoka mji wa DoumaHaki miliki ya pichaAFP/GETTY IMAGES
Image captionWanajeshi wanaounga mkono serikali ya Syria, wamekuwa wakiendelea na vita katika juhudi za kuwafurusha waasi kutoka mji wa Douma
Watu kadha wamefariki katika uwanja mmoja wa ndege wa kijeshi nchini Syria baada ya shambulio la kutumia makombora, vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema.