Donderdag, Augustus 02, 2018

Naibu Katibu Mkuu atoa ombi hili kwa Wabunge na Wawakilishi


Na. chrispin kalinga.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar, Dk.Abdulla Juma Mabodi amewataka Wabunge na Wawakilishi nchini kuongeza kasi ya kutatua kero za wananchi kwa wakati kama walitoa ahadi zao katika uchaguzi mkuu uliopita.

Wanaotorosha Madini ya Tanzanite Kukiona cha Moto


Na Asteria Muhozya, Simanjiro

Waziri wa Madini Angellah Kairuki amesema Serikali itaaendelea kusimamia  ulinzi  na kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite na watakaokwenda  kinyume na matakwa ya Sheria, kiama chao  kinakuja.

Jenerali wa Magereza nchini Phaustine Kasike Awaasa Maofisa wa Jeshi la Magereza Kuzingatia Maadili ya Kazi

Na chrispin kalinga

KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike amewataka Maofisa na askari wa Jeshi hilo kujiepusha na vitendo vilivyo kinyume na maadili ya kazi yao, badala yake wazingatie kanuni, miiko na maadili ya uendeshaji wa Jeshi la Magereza.

Zao La Mchikichi Kumaliza Uhaba Wa Mafuta Nchini

SEKTA ya kilimo ni mhimili wa uchumi wa Taifa na inategemewa katika kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati ifikapo 2025, kupitia viwanda kwa sababu kilimo ndicho kitawezesha viwanda kwa kuvipatia malighafi.

Woensdag, Augustus 01, 2018

Stiggler’s Gorge Kuendesha Treni Ya Umeme

Waziri wa Nishati,  Dk. Medard Kalemani, amesema umeme wa mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge ndiyo utatumika kuendeshea treni mpya ya umeme.

MBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA NJOMBE AWAPONGEZA WAPINZANI WANGING'OMBE,KWA KUTOKUWEKA MGOMBEA KWA KUTHAMINI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA MH .RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.




Na Chrispin kalinga

Mbunge machachari wa vitimaalumu kutoka mkoa wa Njombe Bi Neema Mgaya ,mzaliwa wa jimbo la wanging'ombe ameonekana kuwapongeza wapinzani kwa kutokuweka mgombea katika uchaguzi mdogo kata ya Kata ya Itulahumba -Wilaya ya wanging'ombe.

KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM MKOA WA NJOMBE YASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENYEKITI UVCCM TAIFA KHERI DENIS JAMES -IRINGA .





Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James Akisalimiana na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Njombe Nehemia Tweve mapema leo walipowasili mkoani Iringa,Katikati yao ni Katibu mwenezi wa CCM-Njombe Erasto Ngole.

NDOA YA ERICK MLELWA YAAMSHA MENGINE MKOANI NJOMBE

Huyu kushoni ni bibi harusi na kulia ni msimamizi wa bibi harusi

TRA yawasha moto usio zima...



Na Chrispin Kalinga

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imewaagiza mameneja wake wote nchini kufanya operesheni sehemu za biashara baada ya kubaini baadhi ya wafanyabiashara hawatoi risiti za kielektroniki za EFD kwa kisingizio cha mfumo.

Zari Anena mazito

 Baby mama wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady amekuja juu na kumwaga povu zito siku ya jana na kuomba asilinganishwe na vinuka mkojo.

Baba afunguka Samatta kwenda Leicester City


ACHANA na habari za La Liga. Straika namba moja wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta anaweza kuwashangaza mashabiki wake kwa kutua Ligi Kuu ya England muda wowote kuanzia sasa.

Jeshi la Polisi Lasema Mbwa Aliyedaiwa Kupotea Alikuwa Kwenye Mafunzo

Na Chrispin Kalinga

Mbwa wa kazi maalum za Bandari ya Dar es Salaam anayedaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha, alikuwa kwenye mafunzo bwalo la Polisi.

Rais Magufuli Awaapisha Viongozi Aliowateua......Asema Ilimlazimu Kukaa na Majina yao Miezi Minne Akiwachuja

Rais John Magufuli, amewaambia Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala na Makatibu Wakuu alikaa na majina yao kwa muda wa miezi mine kabla ya kuwateua kushika nafasi hizo.