Dinsdag, Mei 17, 2022



Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Waziri Waziri Kindamba jana Mei 12, 2022 alitembelea kiwanda cha muwekezaji mkubwa wa Parachichi Mjini Makambako katika mkoa wa Njombe kinachojulikana kwa jina la AvoAfrica.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa pamoja na mambo mengine alikagua shughuli mbalimbali zinazofanywa na muwekezaji wa kiwanda hicho haswa katika utaratibu mzima wa uchakataji wa Parachichi hadi hatua ya mwisho.

Katika hatua nyingine Mhe. Waziri Kindamba wakati akizungumza na wafanyakazi pamoja na wananchi wa maeneo hayo alisema kuwa;

Ndugu wananchi wa Mkoa wa Njombe na Watanzania wote, nitumie nafasi hii kuwahakikishia wawekezaji wote kuwa, Njombe ni sehemu salama ya uwekezaji na tunawakaribisha wawekezaji wote kuja kuwekeza katika Mkoa wa Njombe katika sekta ya Viwanda, Kilimo, Uvuvi, Utalii bila kusahau Madini kule Ludewa_ ,*

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Waziri Waziri Kindamba aliongeza kwa kusema kuwa;

Muwekezaji yeyote atakayekuja kuweka Mtaji wake Njombe tupo tayari kuwalinda kwa wivu mkubwa ili vijana wetu waendelee kupata Ajira.

Katika hatua nyingine Mhe. Mkuu wa Mkoa alisema kuwa Wawekezaji wanapokuja kuwekeza Njombe Serikali inapata faida kwa ulipwaji wa Kodi kutoka kwa wawekezaji hao lakini pia Wananchi wananufaika na mambo mbalimbali ikiwemo Ajira, mzunguko wa Biashara n.k.

Umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

 

Umuhimu wa kipekee wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ni pamoja na:-

  1. Kuisadia Serikali kupata taarifa za msingi zitakazosaidia mchakato wa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025, mageuzi ya masuala ya afya na jamii, pamoja na ufuatiliaji wa ajenda za maendeleo za kimataifa;

  2. Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;

  3. Taarifa za msingi za hali ya kidemografia, kijamii na kiuchumi za idadi ya watu na makazi za mipango katika ngazi zote;

  4. Kigawio katika kukokotoa viashiria vingine mfano Pato la mtu mmoja mmoja, Pato la Taifa, Ajira na ukosefu wa Ajira na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi;

  5. Taarifa itakayowezesha serikali kujua ongezeko la idadi ya watu, kwa mgawanyo na viashiria vingine, ambavyo ni muhimu kwa usimamizi wa mazingira; na

  6. Msingi wa utawala bora na ujumuishaji wa demokrasia. Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi kwa ufanisi, kurekebisha mipaka ya kiutawala katika serikali za mitaa.


Saterdag, Desember 14, 2019

CHUO TOKA NJOMBE CHAWANASUA VIJANA KWENYE JANGA LA ELIMU YA JUU NAFASI ZA MASOMO HIZI HAPA USIHANGAIKE KUANZIA DARASA LA SABA NAKUENDELEA MNAPOKELEWA

Kama utahitaji ufafanuzi zaidi piga simu au tuma ujumbe mfupi wa maadishi 0753121916 au  0620669137 utapewa ufafanuzi zaidi.

Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Eckros Njombe Tanzania.
Hapa ni wanafunzi wakiwa na mkurugenzi wa chuo pamoja na walimu.

Vrydag, November 22, 2019

Mambo yatakayokuepusha na ugonjwa wa kisukari



Ugonjwa wa kisukari ni moja ya magonjwa yasiyoambukiza, ambayo husababishwa baada ya kongosho kushindwa kutengeneza 'insulin' ya kutosha ndani ya mwili.

Hukumu Ya Rais wa zamani wa TFF Jamal Malinzi na wenzake Kusomwa Disemba 5 Mwaka Huu



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema itatoa hukumu dhidi ya Rais wa zamani wa TFF Jamal Malinzi na wenzake watatu December 05 mwaka huu.

Malinzi, Mwesigwa, Mwanga na Flora wanakabiliwa mashtaka 20 yakiwamo ya kula njama, kughushi, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji wa fedha Dola za Kimarekani 173,335.

Waziri wa Viwanda na Biashara Afanya Uteuzi wa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA).




mubashara blog +255753121916

Woensdag, November 20, 2019

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa
KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
 wa kuandika makala hii ya tatizo la kutokwa usaha wakati wa kukojoa umetokana na swali la msomaji wetu ambaye aliuliza hivi kwenye tovuti hii na hapa na mnukuu,
 " Dr MWAKALINGA  samahani sana mi nasumbuliwa nikikojoa mwisho wa mkojo unatoka kama usaha na sina dalili ya kaswende ambazo umezizungumzia nakuomba unisaidie’’.

UKIMWI BADO UPO !!!


Image result for ukimwi



Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA HIZI HAPA

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba - Sehemu ya Kwanza
KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Kuharibika kwa Mimba ni nini?
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa wiki 20 hujulikana kama miscarriage.

NJIA YA KUPATA MTOTO WA KIUME HII HAPA


KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Uzazi wa mpango una mambo mengi sana.. sio kuzuia mimba tu ndio uzazi wa mpango ila hata kupanga idadi na jinsia za watoto ni moja ya njia za uzazi

Mwezi wa tano ya mimba huwa alama ya kuwa umefikisha nusu ya ujauzito kwa wanawake wengi ulimwenguni




KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.” 
Mzazi hakati tamaa”.
Ukijitazama kwa wakati huu, umeanza kuonyesha mimba zaidi. kuna wanawake wengi walioanza kufanya  ununuzi wa nguo mpya kwa ajili nguo zao zimeanza kuwa ndogo. Ni vizuri kununua nguo ambazo zina uhuru wa kutembea na kuinama au unapolala.

Dalili za mimba ya miezi miwili NA ukuaji wake





KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Hongera!
Umefikisha miezi miwili ya mimba. Sasa hebu tujadiliane  zaidi juu ya maendeleo mwilini mwako na ule wa mwanako katika mwezi huu.
Ukiwa na mimba ya miezi miwili, unaweza kuwa na mchangamko na hisia mbali mbali, wakati mwingine, unaweza kuhisi  wasiwasi au kutoamini u mja mzito. Kwa wanawake wengi, Hizi ni hisia za kawaida na ni mabadiliko makubwa katika familia kuweza kupata mwana.

JE WAJUA MIMBA YA MWEZI MMOJA NA MAENDELEO YAKE JIFUNZE HAPA







KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Kwanza kabisa, Mwanamke anawezaje kushika mimba?
Wakati mwanamke ameshirikiana ngono na mwanamume, Haswaa wakati ya wiki mbili baada ya hedhi, wakati huu ambapo yai huwa limekomaa na hujiangusha au kupevuka (Ovulation), yai hili likikutana na mbegu ya mwanamume kabla lianguke kwenye tumbo ya uzazi, basi litajamiana na kuanza kupitia mchakato wa (Fertilization) kuumba mwana. Kwa wakati huu, unaweza kugundua mabadiliko mwilini mwako na umeshikwa na mshangao.