Saterdag, Augustus 04, 2018

Waziri Kingwangalla kuhamishiwa hospitali ya KCMC kwa helkopta

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla leo Jumamosi Agosti 4, 2018 amepata ajali eneo la Magugu mkoani Manyara na kupata majeraha sehemu mbalimbali mwilini. Katika ajali hiyo ofisa habari wa wizara hiyo, Hamza Temba amefariki dunia.

Vrydag, Augustus 03, 2018

TFF yafunguka kuhusu Ali Kiba


BAADA ya hivi karibuni baadhi ya watu kudai kuwa mchezaji mpya wa Coastal Union ya Tanga, Ally Salehe Kiba ‘Ali Kiba’ kuwa kanuni za Ligi

Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa tamasha la 'Simba Day'

Klabu ya soka ya Simba leo imemtangaza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa tamasha la 'Simba Day' dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana Agosti 8, 2018.

Kauli ya Rais Magufuli Yamuumiza Kichwa Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,  Paul Makonda ameitisha kikao na wakurugenzi wa manispaa zote za mkoa kwalengo la kupitia takwimu za mapato na matumizi ya mkoa huo ili kujiridhisha kwanini wameshuka kimapato na kuzidiwa na jiji la Dodoma ambalo limepandishwa hadhi hivi karibuni.

Jokate Mwegelo Aapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya

Mkuu mpya wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo ameapishwa leo huku akipewa onyo kuepuka wapotoshaji. Pamoja na Jokate, Zainab Kawawa naye ameapishwa kuwa mkuu wa wilaya ya Bagamoyo.

BREAKING: Kauli ya kwanza ya RC Ally Hapi tangu alipoapishwa













Leo August 3, 2018 tunayo story kutokea kwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapiambaye amezungumza kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa kuwa Mkuu wa mkoa huo ambapo awali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni



 mubashara blog

+255753121916

Ajali Yaua Watuwatatu wa familia moja Dodoma

Watu wanne wamefariki na watatu wakiwa ni wa familia katika ajali iliyohusisha gari na pikipiki.

Mfanyabiashara Davis Mosha akamatwa na Askari wa Uhamiaji

Mfanyabiashara Davis Mosha alikamatwa Agosti Mosi, 2018 kwa madai ya kuwazuia askari wa Idara ya Uhamiaji kutekeleza majukumu yao na bado anaendelea kushikiliwa kwa hatua zaidi.

Donderdag, Augustus 02, 2018

Picha ya Gadner na Mwanae Yazua Gumzo Mitandaoni


 Kuna picha  aliweka Gadner akiwa amerepost kutoka katika akaunti ya binti yake Karen ikiwa inaonyesha akiwa amemkumbatia mtoto wake  huku wakiwa wamelala kwenye kochi, na kwa jinsi wao walivyochukulia ilikuwa ni kama mapenzi ya baba na mtoto.

Mkuu wa Mkoa Njombe ataka wanaotorosha madini wafichuliwe



Na Chrispin kalinga

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewataka  wananchi wanaoishi Vijiji  jirani  vinavyopakana na machimbo  ya  madini  ya  tanzanite  ya  mereani  wilayani  simanjiromkoani   manyara  kusaidia kuwafichua  watu  wote  watakaojaribu  kuhujumu  jitihada  za  serikali   kudhibiti  utoroshaji   wa   madini

Aua mke kwa shoka, ajinyonga kisa wivu wa mapenzi


MWANAMKE mkazi Njage wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro, ameuawa kwa kukatwa kwa shoka kichwani na mumewe kwa kilichoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

Samia Suluhu: Nyinyi wapya tunawaomba mkienda msimame na kiapo mlichokiapa


MAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi walioapishwa jana Ikulu na Rais John Magufuli, wakashirikiane kwenye maeneo yao ya kazi kufuatia ziara alizozifanya mikoani ili kubaini kama wako wanaovutana wenyewe kwa wenyewe.

Naibu Waziri wa Áfya: Marufuku Kupiga Muziki Mahospitalini na Vituo Vya Afya

Na WAMJW - KAGERA
Naibu Waziri wa Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile amepiga marufuku kwa hospitali na vituo vyote vya kutolea huduma za Afya nchini kuonesha miziki katika maeneo yote yakutolea huduma na kuwataka kuweka jumbe zinazohusu Elimu Afya kwa umma pindi wanapongoja kupata huduma.