Woensdag, November 20, 2019

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA HIZI HAPA

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba - Sehemu ya Kwanza
KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Kuharibika kwa Mimba ni nini?
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa wiki 20 hujulikana kama miscarriage.

NJIA YA KUPATA MTOTO WA KIUME HII HAPA


KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Uzazi wa mpango una mambo mengi sana.. sio kuzuia mimba tu ndio uzazi wa mpango ila hata kupanga idadi na jinsia za watoto ni moja ya njia za uzazi

Mwezi wa tano ya mimba huwa alama ya kuwa umefikisha nusu ya ujauzito kwa wanawake wengi ulimwenguni




KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.” 
Mzazi hakati tamaa”.
Ukijitazama kwa wakati huu, umeanza kuonyesha mimba zaidi. kuna wanawake wengi walioanza kufanya  ununuzi wa nguo mpya kwa ajili nguo zao zimeanza kuwa ndogo. Ni vizuri kununua nguo ambazo zina uhuru wa kutembea na kuinama au unapolala.

Dalili za mimba ya miezi miwili NA ukuaji wake





KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Hongera!
Umefikisha miezi miwili ya mimba. Sasa hebu tujadiliane  zaidi juu ya maendeleo mwilini mwako na ule wa mwanako katika mwezi huu.
Ukiwa na mimba ya miezi miwili, unaweza kuwa na mchangamko na hisia mbali mbali, wakati mwingine, unaweza kuhisi  wasiwasi au kutoamini u mja mzito. Kwa wanawake wengi, Hizi ni hisia za kawaida na ni mabadiliko makubwa katika familia kuweza kupata mwana.

JE WAJUA MIMBA YA MWEZI MMOJA NA MAENDELEO YAKE JIFUNZE HAPA







KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Kwanza kabisa, Mwanamke anawezaje kushika mimba?
Wakati mwanamke ameshirikiana ngono na mwanamume, Haswaa wakati ya wiki mbili baada ya hedhi, wakati huu ambapo yai huwa limekomaa na hujiangusha au kupevuka (Ovulation), yai hili likikutana na mbegu ya mwanamume kabla lianguke kwenye tumbo ya uzazi, basi litajamiana na kuanza kupitia mchakato wa (Fertilization) kuumba mwana. Kwa wakati huu, unaweza kugundua mabadiliko mwilini mwako na umeshikwa na mshangao.

Je ninaweza kushika mimba wakati nina hedhi?

Dalili Za Kwanza Ya Mimba


KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA NA DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU

Je, nina  mimba? 
Kuna baina ya wanawake wenye huonyesha dalili za mimba punde tu katika wiki kadhaa baada ya kushika mimba. kuna maswala mengi Kuhusu upataji mimba na ni siku gani mwanamke anaweza kupata mimba. Hebu tujadiliane kwa ufupi. Hedhi yaani mensturation period, ni wakati mwanamke anaweza kujua ya kuwa hana mimba.
Damu inayotoka wakati huu huwa nyekundu. Damu hii hutoka kila mwezi kwa wanawake walio na  mzunguko wa kawaida. Pia damu hii huchukua siku tatu hadi tano kwa wale wenye mzunguko wa kawaida. Unapokosa hedhi, haswaa wakati umeshirikiana ngono, Kuna chanzo kubwa ya kuwa umeshika mimba.

Sondag, Oktober 06, 2019

CHADEMA YAPIGWA BAO NJOMBE


Image may contain: 4 people, people smiling, people standing

Na Chrispin Kalinga

Njombe
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Njombe Ndg, Edwin Swalle na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Jimbo la Lupembe Mkoani Njombe Ndg, Msafiri Mpolo wametangaza kukihama Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi Leo.

Sondag, Maart 31, 2019

FARAJA YA MAJI MKOANI NJOMBE IPO PEUPE


NJOMBE.
Image result for MAJI NJOMBE

NA AMIRI KILAGALILA

Mamlaka ya Maji Njombe Mjini NJUWASA imesema  kufuatia kuwepo kwa Changamoto ya Maji ndani ya Mji wa Njombe Serikali inamkakati wa Kujenga Mradi Mkubwa wa Maji kwa Ufadhili wa Serikali ya India ili kuhakikisha kuwa Wananchi wanapata Huduma ya uhakika na ya kudumu.

Vrydag, Maart 29, 2019

USHIRIKANA WAPAMBA MOTO MKOANI NJOMBE

Image result for USHIRIKINA
PICHA YA MTANDAONI.
NJOMBE.
TAARIFA  NA AMIRI KILAGALILA
Vitendo vya kishirikina vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wilayani Makete mkoani Njombe dhidi ya watumishi wanaopelekwa na serikali ama kwa wananchi wenzao vimekemewa vikali na mkuu wa wilaya ya Makete

MUBASHARA BLOG INATOA POLE KWA UPLANDS FM PAMOJA NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI

Image may contain: 1 person, standing

uongozi wa Mubashara Blog unatoa pole kwa Uplands Fm pamoja na ndugu jamaa na marafiki kwa kufikwa na msiba wa  SHABANI LUPA ambaye alikuwa Mfanyakazi wao

Vrydag, Januarie 25, 2019

Shule iliyoshika mkia kidato cha nne Walimu kufukuzwa


Walimu 12 waliokuwa wanafundisha katika Shule ya Sekondari Masjid Qubah Muslim Seminary jijini Dar es Salaam wanatarajia kufukuzwa na kuajiriwa wapya kutokana na shule hiyo kuwa ya mwisho kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana.

Maandag, Desember 10, 2018

IJUE HISTORIA FUPI YA LIVINGSTONE RANGERS F.C TOKA MKOANI NJOMBE



Livingstone Rangers Football Club nitimu ya mpirawamiguu yenye makao yake katika kijiji cha Luana, wilaya ya Ludewa iliyoanzishwa Januari 2018.

Ikachukua Ubingwa wa Wilaya msimu wa mwezi wa sita hadi wa kumi na kwasasa ipo Njombe kushiriki Ligi yaMkoa Hatimaye imefanikiwa kushiriki ligi hiyo na kujipatia ushindi na umaarufu mkubwa kwa wakati mwafaka Mungu kaisadia timu hiyo ya Livingstone kuingia katika mashindano ya Ligi ya Azam Sports Federation. 

licha ya mafanikio makubwa yaliyo tokana na kuwepo kwa timu hii tangu kuanzishwa kwake kumekuwa na mambo ya msingi ambayo waanzilishi wa timu hii walilenga mambo yafuatayo-


  1. kuendeleza kudumisha mchezo wa mpira wa miguu.
  2. kuibua na kuinua vipaji vya vijana na kuufanya mpira kuwa Ajira kwao.
  3. kutoa burudani ya mchezo kwa jamii na mambo mengi yanayo endelea kufanyika kwa jamii na yanaonekana moja kwa moja.
Hivyo tangu kuanzishwa kwa timu hii Januari Mwaka 2018 imeendelea kufanya vizuri kwa kushinda Mechi za Wilaya akafuzu kuingia Bingwa Wilaya na hatimaye imeendelea kufanya vizuri katika Ligi Mkoa na imefanikiwa kwa kiasi kukubwa hadi sasa katika ligi Mkoa.
Sambamba na hayo Ligi wilaya ilipata matokeo kama ifuatavyo Tarehe 16-6 2018 ilipata ushindi wa goli Moja dhidi ya Ibumi F.c na Tarehe 20-6-2018 ilipata ushindi wa Magoli matatu bila dhidi ya timu ya Vijana Mbelu F.c na Tarehe 24-6-2018 ilipata ushindi wa Goli Mbili bila dhidi ya Stand Ludewa f.c  na tarehe 1-7-2018 ilicheza mchezo mwingine na Ibumi F.c na ikato sare ya goli moja kwa kwa moja na kuibuka na ushindi mzito wa kuongoza kwa kuzifunga timu zote hizo kwa magoli matamu kabisa.
katika hatua nyingine Livingstone Rangers F.c iliingia kushiriki ligi ya mabingwa wilaya na kuanza kuvuna mavuno mazuri kama ifuatavyo; mchezo wa kwanza ulichezwa dhidi yao na Chinga F.c na ndipo Livingstone ikazindua kwa kuwapiga kipigo cha goli moja bila na mchezo wa pili ulichezwa na bodaboda mchezo huo ulikuwa ni wa sinto fahamu Livingstone iliibuka na ushindi wa kihistoria ya kufunga magoli matano bila. Ndipo timu hiyo ikaanzwa kuogopwa kwa namna ya ubora ilio kuwa nao na mchezo wa tatu ulichezwa tarehe 21-10-2018 dhidi ya Mizani F.c na livingstone ikaibuka na ushinda  Wa goli moja bila na tarehe 23:10:2018 bado timu hii iliibuka na ushindi mkubwa wa kihistoria ya magili matatu bila dhidi ya Ujuni F.c.
pia bado timu hii ya livingstone inaendelea kufanya vizuri katika mechi ya ligi mkoa na michezo yote mitatu iliyo chezwa mkoani hapo imechukua ushindi wa point tatu kwa kila mchezo na bado ikashiria mashindano ya Azam Sports Federation na kila timu iliyo kutano nayo imeendelea kuweka Historia ya kipekee katika Mkoa wa njombe. 
Mpenzi msomaji wangu naimahi umeelewa kwa kiasi kikubwa maendeleo ya timu hii tangu kuanzishwa kwake na hadi maendeleo yake tukutane tena katika muendelezo wa makala hii pindi ligi mkoa itakapo kamilika nitakusogezea yote hapa hapa.

Makala hii imeandaliwa na 
Afisa Habari wa Timu ya Livingston. 
 Chrispin kalinga.
...........................................................................


mubashara blog +255753121916