Woensdag, November 20, 2019

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa
KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
 wa kuandika makala hii ya tatizo la kutokwa usaha wakati wa kukojoa umetokana na swali la msomaji wetu ambaye aliuliza hivi kwenye tovuti hii na hapa na mnukuu,
 " Dr MWAKALINGA  samahani sana mi nasumbuliwa nikikojoa mwisho wa mkojo unatoka kama usaha na sina dalili ya kaswende ambazo umezizungumzia nakuomba unisaidie’’.

UKIMWI BADO UPO !!!


Image result for ukimwi



Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA HIZI HAPA

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba - Sehemu ya Kwanza
KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Kuharibika kwa Mimba ni nini?
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa wiki 20 hujulikana kama miscarriage.

NJIA YA KUPATA MTOTO WA KIUME HII HAPA


KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Uzazi wa mpango una mambo mengi sana.. sio kuzuia mimba tu ndio uzazi wa mpango ila hata kupanga idadi na jinsia za watoto ni moja ya njia za uzazi

Mwezi wa tano ya mimba huwa alama ya kuwa umefikisha nusu ya ujauzito kwa wanawake wengi ulimwenguni




KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.” 
Mzazi hakati tamaa”.
Ukijitazama kwa wakati huu, umeanza kuonyesha mimba zaidi. kuna wanawake wengi walioanza kufanya  ununuzi wa nguo mpya kwa ajili nguo zao zimeanza kuwa ndogo. Ni vizuri kununua nguo ambazo zina uhuru wa kutembea na kuinama au unapolala.

Dalili za mimba ya miezi miwili NA ukuaji wake





KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.
Hongera!
Umefikisha miezi miwili ya mimba. Sasa hebu tujadiliane  zaidi juu ya maendeleo mwilini mwako na ule wa mwanako katika mwezi huu.
Ukiwa na mimba ya miezi miwili, unaweza kuwa na mchangamko na hisia mbali mbali, wakati mwingine, unaweza kuhisi  wasiwasi au kutoamini u mja mzito. Kwa wanawake wengi, Hizi ni hisia za kawaida na ni mabadiliko makubwa katika familia kuweza kupata mwana.

JE WAJUA MIMBA YA MWEZI MMOJA NA MAENDELEO YAKE JIFUNZE HAPA







KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA  LAKINI PIA USHAURI NA MAMBO MENGINE WASILIANA NAMI  DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU.

Kwanza kabisa, Mwanamke anawezaje kushika mimba?
Wakati mwanamke ameshirikiana ngono na mwanamume, Haswaa wakati ya wiki mbili baada ya hedhi, wakati huu ambapo yai huwa limekomaa na hujiangusha au kupevuka (Ovulation), yai hili likikutana na mbegu ya mwanamume kabla lianguke kwenye tumbo ya uzazi, basi litajamiana na kuanza kupitia mchakato wa (Fertilization) kuumba mwana. Kwa wakati huu, unaweza kugundua mabadiliko mwilini mwako na umeshikwa na mshangao.

Je ninaweza kushika mimba wakati nina hedhi?

Dalili Za Kwanza Ya Mimba


KWA WALE AMBAO WATAHITAJI KUKUTANA NA DOCTAR MWAKALINGA WASILIANA NAMI 0753121916 KWA MASHART NAAFUU

Je, nina  mimba? 
Kuna baina ya wanawake wenye huonyesha dalili za mimba punde tu katika wiki kadhaa baada ya kushika mimba. kuna maswala mengi Kuhusu upataji mimba na ni siku gani mwanamke anaweza kupata mimba. Hebu tujadiliane kwa ufupi. Hedhi yaani mensturation period, ni wakati mwanamke anaweza kujua ya kuwa hana mimba.
Damu inayotoka wakati huu huwa nyekundu. Damu hii hutoka kila mwezi kwa wanawake walio na  mzunguko wa kawaida. Pia damu hii huchukua siku tatu hadi tano kwa wale wenye mzunguko wa kawaida. Unapokosa hedhi, haswaa wakati umeshirikiana ngono, Kuna chanzo kubwa ya kuwa umeshika mimba.

Sondag, Oktober 06, 2019

CHADEMA YAPIGWA BAO NJOMBE


Image may contain: 4 people, people smiling, people standing

Na Chrispin Kalinga

Njombe
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Njombe Ndg, Edwin Swalle na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Jimbo la Lupembe Mkoani Njombe Ndg, Msafiri Mpolo wametangaza kukihama Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi Leo.

Sondag, Maart 31, 2019

FARAJA YA MAJI MKOANI NJOMBE IPO PEUPE


NJOMBE.
Image result for MAJI NJOMBE

NA AMIRI KILAGALILA

Mamlaka ya Maji Njombe Mjini NJUWASA imesema  kufuatia kuwepo kwa Changamoto ya Maji ndani ya Mji wa Njombe Serikali inamkakati wa Kujenga Mradi Mkubwa wa Maji kwa Ufadhili wa Serikali ya India ili kuhakikisha kuwa Wananchi wanapata Huduma ya uhakika na ya kudumu.

Vrydag, Maart 29, 2019

USHIRIKANA WAPAMBA MOTO MKOANI NJOMBE

Image result for USHIRIKINA
PICHA YA MTANDAONI.
NJOMBE.
TAARIFA  NA AMIRI KILAGALILA
Vitendo vya kishirikina vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wilayani Makete mkoani Njombe dhidi ya watumishi wanaopelekwa na serikali ama kwa wananchi wenzao vimekemewa vikali na mkuu wa wilaya ya Makete

MUBASHARA BLOG INATOA POLE KWA UPLANDS FM PAMOJA NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI

Image may contain: 1 person, standing

uongozi wa Mubashara Blog unatoa pole kwa Uplands Fm pamoja na ndugu jamaa na marafiki kwa kufikwa na msiba wa  SHABANI LUPA ambaye alikuwa Mfanyakazi wao