Woensdag, Januarie 31, 2018

Jinsi Ya Kujenga Mafanikio Ukiwa Na Mtaji Wako

 

Na siku ya leo tutakwenda kujibu moja ya swali ambalo tumekuwa tukiulizwa sana na wasomaji wetu kwamba ni jinsi gani mtu anavyoweza kujijengea mafanikio ukiwa na mtaji wake.

TOBA Pluijm apigwa changa la macho na Kibaka

 

KOCHA WA SINGIDA UNITED, HANS VAN DER PLUIJM.
MUDA mchache baada ya kushuhudia timu yake ikipata bao la pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Tanzania Prisons juzi, Kocha wa Singida United, Hans van der Pluijm, alijikuta akiingizwa mjini na vibaka kwa kuibiwa mkoba wa fedha wakati akishangilia bao hilo.

Waziri Mkuu asema Afrika imeazimia kujiimarisha kuzalisha umeme


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema nchi za bara la  Afrika zimeazimia kujiimarisha katika uzalishaji wa umeme hadi vijijini ili uweze kuleta maendeleo.

Shule 10 BORA na Shule 10 za Mwisho Matokeo ya Kidato cha Nne 2017


Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne kwenye mtihani ambao ulifanyika October 2017 ambapo Shule  iliyoshika namba moja inatoka Mbeya.

TOP 10 YA SHULE BORA.

1. St. Francis Girls ya Mbeya

2. Feza Boys ya Dar es salaam

3. Kemebos ya Kagera 

4. Bethel Sabs Girls ya Iringa 

5. Anwarite Girls ya Kilimanjaro 

6. Marian Girls Pwani 

7. Canossa ya Dar es salaam 

8. Feza Girls ya Dar es salaam 

9. Marian Boys ya Pwani 

10. Shamsiye Boys ya Dar es salaam 

TOP 10 YA SHULE ZA MWISHO KITAIFA
10. Mtule ya Kusini Unguja

9. Nyeburu ya Dar es salaam

8. Chokocho ya Kusini Pemba

7. Kabugaro ya Kagera

6. Mbesa ya Ruvuma

5. Furaha ya Dar es salaam

4. Langoni ya Mjini Magharibi

3. Mwenge S.M.Z ya Mjini Magharibi

2. Pwani Mchangani ya Kaskazini Unguja

1. Kusini ya Kusini Unguja

chrispiny kalinga

Umri wa Kustaafu Kwa Madaktari Bingwa, Wahadhiri Waandamizi na Maprofesa Sasa miaka 65


Frank Mvungi- Maelezo, Dodoma.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha muswaada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298  (The Public Service Act) itakayowezesha muda wa kustaafu kwa  Wahadhiri waandamizi, Maprofesa na Madaktari Bingwa kuwa miaka 60 kwa hiari na lazima miaka 65.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya January 31


chrispiny kalinga

Serikali Yasisitiza Uwazi Shughuli Za Madini


Kampuni za Madini nchini zimetakiwa kufanya shughuli zake kwa uwazi sambamba na kufuata Sheria za nchi ili kuepuka migongano.

Wachimbaji Wanne wafariki kwa kufukiwa na kifusi Arusha


 Wachimbaji wanne wamefariki na  mmoja yupo mahututi baada ya kuangukiwa na Ngema  walipokuwa wakipakiza  changarawe kwenye gari katika machimbo ya changarawe yaliyopo katika mlima Murieti katika jiji la Arusha.

Rais Magufuli Kuzindua Pasipoti ya Kielektroniki


Na Jonas Kamaleki
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli leo  atazindua Pasipoti Mpya ya Tanzania ya kielektroniki jijini Dar es Salaam.

Familia ya lissu Yahofia Tundu Lissu Kufukuzwa Hospitali



Familia ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), imelitaka Bunge kutoa fedha za matibabu yake kama halitaki mtunga sheria wake huyo akafukuzwe hospitalini alikolazwa.

Raila Odinga hatarini kushtakiwa kwa kujipa urais nchini kenya


MAMLAKA za Kenya, jana zilizima vituo vya televisheni kuzuia matangazo 'live' ya sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga, ambaye alisusia uchaguzi wa marudio wa mwaka jana uliobishaniwa.

NECTA Watangaza Matokeo ya Kidato Cha Nne 2017....Bofya Hapa Kuyatazama



Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato nne ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia saba.

LUDEWA MKUU WA WILAYA YA LUDEWA MKOANI NJOMBE ATOA KAULI NZITO JUU YA YEYOTE ATAKAYE KUTWA AMESIMAMA NA WANAFUNZI.





 Na chrispiny kalinga.

wananchi wilayani ludewa mkoani njombe katika kata ya mlingali na wanaulalamikia uongozi wa shule za sekondari zilizopo katika kata hizo kwa madai ya kutozwa chakula cha watoto wao kisicho pungua debe kumi ambazo ni sawa na kilo mia moja.