Vrydag, September 07, 2018

NAFASI ZIPO WAZI WAHI MAPEMA MUHURA WA PILI WA MASOMO UNAANZA 01 OCT



No automatic alt text available.

Sambamba na hilo Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Ekros anakutangazia nafasi za masomo yafuatayo kwa wewe mtanzania 

Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
.Mafunzo ya kompyuta program zote
.Mafunzo ya u DJ
.Uzalishaji wa video
.Uhadhiri
.Mafunzo ya kiingeleza
.Ungojazi rasilimali
.Utunzaji wa kumbukumbu
.Mafunzo ya muziki
.Uzalishaji wa muziki
SASA TUMEONGEZA NA MAFUNZO YA UDEREVA PAMOJA NA CHETI UTAPATA NA KURAHISISHIWA UPATIKANAJI WA RESENI CHUO KITAHUSIKA .WAHI SASA

.Wahitimu wote wa darasa la saba,kidato cha nne na kidato cha sita na kuendelea.

Chuo kinapatikana Njombe mjini ndani ya uwanja wa sabasaba,pia tunatoa huduma za hostel kwa wanao hitaji.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia namba 0753121916 au 0762795251 wahi sasa nafasi ni chache.


JAZA FOM MAPEMA ILI NAFASI YAKO IANDIKWE .

 blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking