Dinsdag, Januarie 23, 2018


Onyo kali latolewa baada ya Serikali kutangaza kuuza meno ya Viboko


 ***Wanunuzi wataruhusiwa kuyakagua (Januari 25 na 26) kabla ya mnada
***Watakaovuruga mnada kukiona cha mtemakuni

Maandag, Januarie 22, 2018

HAPA KAZI TU YATIMIA KWA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Azidi Kuwabana Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) 


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mhandisi Elius Mwakalinga akafanye tathmini ya ubora ya jengo la kituo cha pamoja cha forodha cha Sirari kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya.

Ametoa agizo hilo jana (Jumapili, Januari 21, 2018) katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Mara, ambapo alimuagiza Mkurugenzi huyo afanye tathmini na kuishauri Serikali kama jengo linafaa kutumika. 

Januari 17, 2018 Waziri Mkuu

KAMPUNI YA MAFUTA YA TOTAL YAKIFUNGIA KITUO CHAKE MJINI NJOMBE,

Katika Picha ni Purukushani wakati kituo hicho kikifungwa Mjini Njombe,
Na Gabriel Kilamlya NJOMBE

Saterdag, Januarie 20, 2018

 LUDEWA-MLANGALI
Na chrispiny kalinga 
date... 20 january 2018

WANGANGA WA TIBA ASILI WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE KIJIJI CHA MAWENGI NA IYUNGUYA  WAITAKA SERIKALI KUINGILIA KATRI MADAI YAO YA FEDHA ILIYO TOLEWA MWAKA 2017.

 
Waganga wilayani ludewa mkoani njombe wanaulalamikia uongozi wa chama ambacho kilikuwa kinawaongoza kinacho kwenda kwa jina la C.W.W.I kwa madai ya kuchukuliwa fedha zao kwa muda wa mwaka mmoja na bila kuona chochote kinacho endelea.

Dinsdag, Januarie 16, 2018


New Video: Chibwa & Tanah Tanchy – Alone

By  | 





 MONDI HATARI

Baada ya Afrika Kusini Diamond kununua mjengo mwingine Rwanda

ByKIBOKO CHA MADANGA




Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameweka wazi mipango yake ya kununua nyumba nchini Rwanda.



 TUJIKUMBUSHE KIDOGO BAJETI YA MWAKA HUU DUUH.

Taarifa Ya Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Hali Ya Uchumi Na Utekelezaji Wa Bajeti Ya Serikali Kwa Mwaka 2017/18

JANUARY 16.2018



­­­
UTANGULIZI
 
 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NJOMBE HIKI HAPA.
NA chrispiny kalinga

 Eckros tourism college-njombe ni chuo pekee nyanda za juu kusini kinachofanya vizuri. Kufahamu zaidi angalia video hii. Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu













 RAIS APONGEZWA.

January 16, 2018

UDSM Wampongeza Rais Magufuli Kwa Misimamo Thabiti Isiyoyumba

SeeBait


January 16, 2018

SOMA MAGAZETI YA LEO.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya January 16

SeeBait

chrispin kalinga

January 16, 2018

Uamuzi wa serikali dhidi ya gazeti la Nipashe kwa taarifa ya kupotosha kuhusu Rais

SeeBait

January 16, 2018

NA CHRISPINY KALINGA

MANENO MAZITO AYAONGEA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu: “Tutakamilisha ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Musoma”

SeeBait
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inakamilisha ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyoanza kujengwa mwaka 1980.



KUINGIA IKULU KWA MH.LOWASSA KWALETA GUMZO CHADEMA

Taarifa ya leo ya Edward Lowassa kuhusu alichoongea na Rais Magufuli IKULU