Sondag, Februarie 18, 2018

Waziri Nchemba aagiza wakimbizi wa Burundi 32,000 kurudishwa kwao

Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza UNHCR kuwaondoa wakimbizi 32,000 ambao wameomba kwa hiari yao kurudi katika nchi yao ya Burundi haraka tofauti na wanavyofanya sasa.

Vrydag, Februarie 16, 2018

TANGA RAHA- Sehemu ya Tatu ( 3 )

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA

 ILIPOISHIA    
Nikajipapasa haraka haraka kwenye mifuko yangu, ya pensi niliyo ivaa na kukuta kweli walet yangu haipo, ambayo ndani yake inapesa nyingi pamoja na vitambulisho vyangu vya kazi na bima za afya, tunazopewa wafanyakazi wa serikalini kwa ajili ya matibabu ya bure katika hospital yoyote ndani ya nchi ya Tanzania

Babu Seya, Papii Kocha Wawaliza watu.....Tazama Hapa Video Yao Mpya

Msanii wa muziki wa 'Papii Kocha' ambaye alikuwa amefungwa kwa zaidi ya miaka 13 jela leo Februari 16, 2018 ameachia video ya wimbo wake mpya 'Waambie' ambao umewaliza baadhi ya watu kutokana na mambo ambayo ameyaimba ndani ya wimbo huo.

Woensdag, Februarie 14, 2018

MKURUGENZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ASEMA NENO ZITO MKOANI NJOMBE


Picha na France malekela
wa kwanza kushoto kwako ni mkurungenzi mkuu wa chuo

Yanga yaipiga Majimaji FC 4-1

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga SC wamefanikiwa kuchomoza na ushindi mujarabu wa mabao 4 – 1 dhidi ya Majimaji FC mchezo uliyopigwa jijini Dar es salaam.

DR Congo: Wanajeshi watano wafariki katika msafara wa rais

Wanajeshi watano wafariki katika ajali iliotokea katika msafara wa rais Joseph Kabila Minkelo Kusini-Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Halmashauri Ya Longido Yapewa Gari La Chanjo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemkabidhi mbunge wa jimbo la Longido, Dkt. Stephen Kiruswa gari aina Tunland Double cabin kwa ajili ya kuboresha huduma za chanjo na afya katika jimbo hilo.

Mwigulu Nchemba awakemea wanasiasa wanaoihusisha Serikali na kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wanasiasa kuacha kutumia kuumia kwa mbunge Tundu Lissu kama chambo ya kisiasa katika majukwaa.

Waziri Mkuu: Bil. 161.9 Zimetumika Kuboresha Vituo Vya Afya 170

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetumia sh. bilioni 161.9 kuboresha vituo vya afya 170 nchini pamoja na kugharamia huduma ya Afya ya Mama na Mtoto kwa lengo la kuokoa maisha yao.

Dinsdag, Februarie 13, 2018

Rais Zuma akubali kujiuzulu Lakini kwa Masharti

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekubali kuachia madaraka ya kuongoza nchi hiyo, baada ya wito uliotolewa na chama chakle ANC kumtaka kujiuzulu ndani ya masaa 48.

Sondag, Februarie 11, 2018

UMEME WA BAYOGESI WAINUKA

Bayogesi (biogas) ni kitu gani?
Bayogesi ni mchanganyiko wa gesi inayoundwa na viasilia mbalimbali vinavyotengenezwa katika mazingira ya kutokuwepo hewa (oksijeni) ambayo asilimia kubwa ni gesi ya

Vijiji 100 kupata maji ya Ziwa Victoria


WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inatekeleza mradi wa maji wa vijiji 100 vilivyopo kandokando ya bomba kuu kutoka Ziwa Victoria hadi Kahama Shinyanga, Bunge limeelezwa.