Sondag, Februarie 25, 2018

Walichojadili Waziri Mwakyembe, Rais wa FIFA na CAF kuhusu uanachama wa Zanzibar

Na Anitha Jonas – WHUSM,Dar es Salaam
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)

Ahadi ya FIFA kwa Tanzania baada ya Rais Gianni Infantino kufika Nchini

Na Anitha Jonas –WHUSM , Dar es Salaam.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeahidi kuendeleza viwanja tisa nchini kufuatia kuongezeka kwa dau la pesa za

Hukumu ya Sugu Kusomwa Kesho February 26

Hatima ya mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu Sugu anayeshtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli itajulikana kesho.

Kakobe akana kukwepa kodi,asema taarifa za TRA ni za Kisiasa

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Followship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha taarifa za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwamba kanisa lake linakwepa kodi.

Donderdag, Februarie 22, 2018

MWAMWA KALINGA AKIWA KWENYE MAJARIBIO YA RUNINGA

Mmiliki wa mtandao huu wa blog akifanyiwa majaribio na kurugenzi wa chuo cha uandishi wa habari kwa lengo la kuangaliwa kama alikuwa makini darasani


wa kwanza kushoto ni daniel lameck na wapili  alioye vaa shati ya njano ni Host wa kipindi ni Chrispin kalinga na aliye vaa kofia ni Mkurugenzi wa Chuo cha Uandishi wa habari mkoani njombe maeneo uya sabasaba na wamwisho kulia ni jeremia Makweta.
































Chrispiny kalinga blog

Msajili wa vyama aiandikia barua Chadema

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitaka kijieleza kwa nini asikichukulie hatua kwa kufanya maandamano Februari 16, 2018.

Ubalozi wa Marekani Montenegro washambuliwa

Ubalozi wa Marekani mjini  Podgorica   washambuliwa kwa bomu lilitengenezwa kienyeji  kwa mikono  nchini Montenegro.

Mwili wa Akwilina ulivyochukuliwa Muhimbili kupelekwa NIT kuagwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa aliongoza msafara wa magari, likiwemo lililobeba mwili wa  mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kuelekea katika viwanja vya chuo hicho kwa ajili ya kuagwa.

Jeneza lenye mwili wa mwanafunzi lilikuwa  katika gari maalumu la kubebea maiti.

Baada ya kuaga mwili wa mwanafunzi huyo, saa 10 jioni safari kuelekea wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro kwa mazishi itaanza. Akwilina atazikwa kesho 


Chrispiny kalinga blog

Wanafunzi Wazimia na Kupoteza Fahamu Baada ya Kumuona Akwilina ndani ya Jeneza

Vilio, simanzi na kupoteza fahamu kwa baadhi ya wanafunzi ni baadhi ya matukio ya huzuni yanayojitokeza katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), baada ya kuwasili mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo hicho, Akwilina Akwiline.

Mpenzi Wangu Ibilisi ( Simulizi ya Kweli) Sehemu ya 01

Mwandishi: Grace Godfrey Rweyemam
“Habari dada Grace! Ninaweza kuonana na wewe tuongee?”
Nilipata ujumbe huo mfupi wa simu kutoka kwa namba nisiyo ifahamu nikiwa katikati ya shughuli zangu.

Taarifa Muhimu Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kusimamia vizuri rasilimali walizonazo na kukusanya kodi vizuri ili waweze kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu na kuimarisha huduma za afya kwa wananchi.

Woensdag, Februarie 21, 2018

Kipindupindu chaua 18 Dodoma



Watu 18 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kipindupindu mkoani Dodoma ndani ya miezi minne huku zaidi ya watu 470 wakiugua ndani ya muda huo.

Rais Magufuli awasili SALAMA Nchini Uganda

Rais John Magufuli leo amewasili nchini Uganda, kuhudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaofanyika  mjini Kampala.