Donderdag, Februarie 22, 2018

MWAMWA KALINGA AKIWA KWENYE MAJARIBIO YA RUNINGA

Mmiliki wa mtandao huu wa blog akifanyiwa majaribio na kurugenzi wa chuo cha uandishi wa habari kwa lengo la kuangaliwa kama alikuwa makini darasani


wa kwanza kushoto ni daniel lameck na wapili  alioye vaa shati ya njano ni Host wa kipindi ni Chrispin kalinga na aliye vaa kofia ni Mkurugenzi wa Chuo cha Uandishi wa habari mkoani njombe maeneo uya sabasaba na wamwisho kulia ni jeremia Makweta.
































Chrispiny kalinga blog

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking