Woensdag, Februarie 21, 2018

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED YAJA KIVINGINE 2018

Tokeo la picha la SEMBE

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED.

Kampuni ya uzalishaji waUnga wa Mahindi Wilayani Njombe Mkoani Njombe inapenda kuwatangazia watanzania wote kwa jumla kuwa wao ni Wazalishaji wa Unga aina ya Sembe pamoja na Mafuta ya kupikia ainaya Alizeti sambamba na hilo ni Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla na lejeleja pamoja na kumfikishia mteja wao popote alipo ndani ya Nchi ya Tanzania  Kwa bei poa kabisa . 

Msemaji wa kampuni hiyo amesema kuwa bei ya unga kwanzia kilo tano kilo kumi na kilo ishirini na tano  kwenye kampuni hiyo ni bei powa kabisa. 

Akizungumza na vyombo vya Habari mkoani hapo mkabara na viwanja vya sabasaba ambapo ni jirani kabisa na viwanda hivyo amesema kuwa watanzania wafunguke na kununua chakula bora  kutoka katika kampuni yake. 

Pia msemaji huyo akaongeza kwa kusema kuwa yeyote anaye hitaji bidhaa kutoka kwake awasiliane kwa simu nambari 
SIM 0763-407591.

     Usisahau kusambaza na kwa rafiki yako

Chrispiny kalinga blog

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking