Sondag, Maart 04, 2018

MMILIKI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ATOA OFA KWA WATAKAO WAHI KUFIKA CHUONI HAPO


OFA KWAAJILI YAKO WEWE KIJANA ULIYE HIMU ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA KWA BEI POA.....

TANGAZO

Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Eckros school of journalism

kinakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2018-2019 kwa kozi

zifuatazo kwa ngazi ya cheti.
.Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa

Wema Sepetu: Makonda ni kama Malaika

Muigizaji wa filamu mwenye nyota yake bongo na Afrika Mashariki Wema Sepetu, amefunguka na kudai Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameletwa duniani na Mungu kwa lengo la kusaidia watu nasio vinginevyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya March 4

TAHLISO Yatoa Tamko Kuhusu Wanafunzi Wanaotaka Mwigulu Ajiuzulu Kwa Kifo Cha Akwilina

TAARIFA KWA UMMA
Ndugu waandishi wahabari tunawashukuru sana kwa kukubali wito wetu wakuja kujumuika pamoja nasisi.

Wawili Watupwa jela kwa 'kumchezea rafu' Rais Nkurunziza katika mechi ya kirafiki

Maofisa wawili nchini Burundi wamehukumiwa kwenda jela baada ya Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza kuwashutumu ‘kuchezewa vibaya’ wakati wa mechi ya mpira wa miguu waliyoiandaa.

Vrydag, Maart 02, 2018

TCRA Yazindua mfumo wa usajili laini za Simu kwa kutumia alama za vidole

Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA)  imezindua mfumo wa kusajili laini kwa kutumia alama za vidole.

Moto wa Mshumaa Waua Watoto Wanne Wa Familia Moja

Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kuteketea kwa moto walipokuwa wamelala chumbani katika tukio lililotokea mtaa wa Geita Road Kata ya Nyatukala mjini Sengerema.

Wanafunzi 400 wavamia Nyumba ya Mwalimu na Kufanya Vurugu....Shule Yafungwa Wiki 2

Serikali imeifunga Shule ya Sekondari ya Lyamungo iliyoko Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya wanafunzi wake kuzusha vurugu kubwa huku wakivamia na kuivunja ofisi ya Makamu Mkuu wa shule hiyo.

FUNDI AFARIKI BAADA YA KUMALIZA UJENZI WA KANISA AWEKA AGANO NA MUNGU,LUDEWA

WANNE WA FAMILIA MOJA WATEKETEA KWA MOTO JIJINI MWANZA

Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kuteketea kwa moto walipokuwa wamelala chumbani katika tukio lililotokea mtaa wa Geita Road Kata ya Nyatukala mjini Sengerema.

Ushuru wa bidhaa za chuma yaleta utata baina ya Trump na Wafanyabiashara

Galvanized coiled steel at the ThyssenKrupp steelworks on January 17, 2018 in Duisburg, Germany
Washirika wakubwa wa biashara wa Marekani wamekasirishwa na tangazo la Rais wa nchi hiyo Donald Trump juu ya mpango wa kutoza ushuru kwa bidhaa za chuma na aluminiam zinazoingizwa.

Urusi yajaribisha kombora jipya ....Halina Ukomo wa Masafa na Linaweza Kupenya Kizuizi Chochote cha Makombora

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema jeshi lake limejaribisha silaha kadhaa mpya za nyuklia ikiwemo aina ya kombora ambalo halina ukomo wa masafa na linaweza kupenya ngome ya mfumo wowote unaokabiliana na makombora.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Ijumaa ya March 2